Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Choki, Muumin, Banza waacha gumzo Kanda ya Ziwa

WAKALI wa muziki wa dansi nchini, Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kizigo’ wamerejea jijini Dar es Salaam kwa kishindo baada ya kuhitimisha ziara ya wiki moja katika mikoa ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAGUFULI GUMZO KANDA YA ZIWA!

Dk. John Pombe Magufuli ambaye ni mgombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Richard Bukos, aliyekuwa Geita Dk. John Pombe Magufuli ambaye ni mgombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekuwa gumzo kubwa katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya Kanda ya Ziwa. Dk. Magufuli ambaye amekuwa ‘homa kali’ kwa vyama vya upinzani,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzinduzi Mtenda Akitendewa waacha gumzo

UZINDUZI wa albamu ya ‘Mtenda Akitendewa’ umeacha gumzo kwa mashabiki waliojitokeza kwenye ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam juzi, ambapo mnenguaji mahiri hapa nchini, Super Nyamwela, alipagawisha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Original Komedi waacha gumzo jijini Mwanza kwenye Tamasha la Tigo Welcome Pack

komedy

Wasanii wa kundi la Original Komedi wakitoa burudani kwenye tamasha la Tigo Welcome Pack lililofanyika uwanja wa ccm Kirumba Mwanza juzi, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo. orijino komedy Masanja2 Mpoki MwanaFA2 Mwana HipHop Hamisi Mwinyijuma maarufu MwanaFA akiwaburudisha mashabiki waliofurika kwenye tamasha la Tigo Welcome Pack lililofanyika uwanja wa ccm Kirumba Mwanza juzi, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma...

 

10 years ago

GPL

MAMA KIKWETE GUMZO KIFO CHA BANZA!

GLADNESS MALLYA SAFI! Mke wa Rais mama Salma Kikwete ameibuka na kuwa gumzo baada ya kifo cha mwanamuziki nyota, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kufuatia ahadi yake ya kumsomesha mtoto wa marehemu, Haji ambaye yupo kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Turiani, iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Ik5pZP ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashabiki kanda ya Ziwa wastaarabu.

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limesema linawashukuru mashabiki wa kanda ya ziwa kwa ustaarabu wa hali ya juu.

 

10 years ago

Vijimambo

"IMETOSHA" YAJITAMBULISHA KANDA YA ZIWA

Ilikua mishale ya saa kumi kamili jioni ujumbe wa harakati za Imetosha ulipowasili katika kituo cha Buhangija cha kulea watoto wenye mahitaji maalumu mjini Shinyanga. Sauti za furaha za watoto zilisikika zikiimba nyimbo za kukaribisha ujumbe wa wana harakati hao ambao wako Mwanza kutambulisha harakati za Imetosha ambazo ni kupambana na kupinga unyanyapaa, ukatili na mauaji kwa watu wenye Ulemavu wa ngozi.Balozi wa Imetosha Henry Mdimu akinunua mahitaji ya watoto waliopo kituoni hapo kabla ya...

 

9 years ago

Habarileo

Waandishi Kanda ya Ziwa wafundwa

WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari hususan za uchunguzi wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbili kutoka Kanda ya Ziwa

Wakati mzunguko wa kwanza wa Ligi Daraja la Kwanza msimu huu ukiwa umemalizika, Ukanda wa Ziwa una matumaini makubwa ya kupata timu mbili zitakazopanda daraja Ligi Kuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani