Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA KIKWETE GUMZO KIFO CHA BANZA!

GLADNESS MALLYA SAFI! Mke wa Rais mama Salma Kikwete ameibuka na kuwa gumzo baada ya kifo cha mwanamuziki nyota, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kufuatia ahadi yake ya kumsomesha mtoto wa marehemu, Haji ambaye yupo kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Turiani, iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Ik5pZP ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam

  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa wana familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam leo Jumamosi Julai 18, 2015.   Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji mama mzazi wa marehemu  katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam leo Jumamosi Julai 18, 2015.   Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na kiongozi wa bendi ya African Stars Twanga Pepeta Asha Baraka...

 

10 years ago

Vijimambo

Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akilakiwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrer Mngereza alipowasili kujiunga na familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam leo Jumamosi Julai 18, 2015. Marehemu Banza Stone, aliyefariki jana mchana baada ya kuugua kwa muda mrefu,  amezikwa jioni hii katika makaburi ya Sinza. Marehemu Banza Stone atakumbukwa kwa umahiri wake wa utunzi na uimbaji alipokuwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Choki, Muumin, Banza waacha gumzo Kanda ya Ziwa

WAKALI wa muziki wa dansi nchini, Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kizigo’ wamerejea jijini Dar es Salaam kwa kishindo baada ya kuhitimisha ziara ya wiki moja katika mikoa ya...

 

10 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MWANAMUZIKI RAMADHANI MASANJA BANZA STONE ALIYEZIKWA JANA JIJINI DAR ES SALAAM‏

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika  alipowasili kujiunga na familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam jana Jumamosi Julai 18, 2015.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete…

 

11 years ago

Habarileo

Baba, mama wasababisha kifo cha mtoto

POLISI mkoani Rukwa inamshikilia baba mzazi huku ikimsaka mama wa mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja, Denis Umera aliyefariki dunia kutokana na kilichodaiwa ni ugomvi wa wazazi hao uliotokana na wivu wa mapenzi.

 

10 years ago

GPL

BANZA SIKU167 ZA MATESO HADI KIFO!

Gladness Mallya
Duniani sisi sote ni wasafiri! Ndiyo msemo ninaoweza kuanza nao katika makala haya maalum kwa aliyekuwa mwanamuziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ aliyefariki dunia Ijumaa iliyopita baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mwanamuziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ enzi za uhai wake. TUJIKUMBUSHE
Banza alizaliwa Oktoba 20, 1972 katika Hospitali ya Ocean Road...

 

11 years ago

GPL

MAMA WEMA AIBIWA HATI YA KIFO CHA MUMEWE

Stori: Makongoro Oging’ na Imelda Mtema NI balaa ni nini? Mariam Athuman Sepetu ambaye ni mama mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ametinga katika Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’, Dar kutoa taarifa ya kupotelewa hati ya uthibitisho ya kifo cha mume wake, marehemu Isaac Sepetu. Mariam Athuman Sepetu ambaye ni mama mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Vyanzo vyetu toka ndani ya jeshi la...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KIFO CHA MAMA NENDIWE JAPHET MBAGA

Familia ya marehemu mzee Japhet Mbaga, wa Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha mama yao, NENDIWE MBAGA, kilichotokea hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, siku ya Jumatano mchana, tarehe 13 Mei 2015 kwa ugonjwa wa pneumonia. Mama Nendiwe ni mama mzazi wa MARY RUSIMBI, Hillary Mbaga, Michael Mbaga, Rose Mshana, Stella Mbaga na John Mbaga.Mazishi yanatarajiwa kufanyika makaburi ya Kinondoni, siku ya Jumapili tarehe 17 Mei 2015 saa 10.00 jioni. Ratiba ya kutoa heshima za mwisho itafanyika...

 

10 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MAMA YETU MPENDWA MRS K. MNUBI.

Sasa ni miaka miwili tangu mama yetu kipenzi ulipoitikia sauti ya Mungu hapo tarehe 07.06.2012.

Sisi kama familia tunatoa shukrani za pekee kwa Mungu kwa jinsi alivyoweza kutulinda na kutupa Faraja ya pekee katika kipindi chote cha majonzi na hadi sasa tunatimiza miaka mitatu bila kuwa nawe. 
Tunakukumbuka sana mama japo kimwili haupo nasi, pengo lako daima haliwezi kuzibika. Tunakukumbuka kwa upendo wako, ushauri wako kama mama na mke. Kipekee unakumbukwa sana na mume wako mpendwa ACP Kedmond...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani