CHRISTIAN BELLA, AOMBA KUSHIRIKI TAMSHA LA GURUMO JUMAMOSI HII TCC CLUB
![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSao8My0Ace1roh1JfQhUZfOGGZioMY2S*K-hGXQYNaKbxCYNFe0ErxiLE2KWsDP3lL3o0SUtJ2T8erhPJddEB5L/bella.jpg?width=650)
Christian Bella kutoka Malaika Music Band. MWIMBAJI anayesadikika kuwa na sauti tamu zaidi kwa sasa, Christian Bella kutoka Malaika Music Band, amesema atashiriki tamasha la Gurumo litakalofanyika Jumamosi hii kwenye viwanja wa TCC Club Chang’ombe. Mratibu wa tamasha hilo, Juma Mbizo amesema Christian Bella, ameomba awekwe kwenye ratiba ya waburudishaji ambapo atapanda kuimba japo wimbo mmoja kama ishara ya kuonyesha...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-k6Z4Z3ICnOw/UqqrETmDDrI/AAAAAAAFBJE/ej9nSvFKLXc/s640/gurmo+akishiriki+mazoezi.jpg?width=640)
MASTAA WA SIKINDE KUSHUKA NA NYIMBO 5 TAMASHA LA GURUMO JUMAMOSI TCC CLUB
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MiQiwIzvChtRy0RS1nfLr*AYnpixsifbxGR99mz*a3fltiTyX1eTVbINmu9*s4WdyjOQpSYLvBx6GCyWrA14nUV/2malaikaband3.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQleMpK13Xzrfq*lMbv1YX*LgqFxG5bAFZhRhL65mb9tF3m6dP6fbkX0O5FTPSw0KsFQTTyF5srnrpo6kfCw1AB/grumo.jpg?width=650)
MACHO YOTE LEO NI GURUMO 53 TCC CLUB CHANG’OMBE
9 years ago
Bongo528 Sep
Hii ndio sababu ya Christian Bella kusita kufanya wimbo na Diamond
9 years ago
Bongo515 Dec
Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’
![12301240_431794427022691_698500110_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301240_431794427022691_698500110_n-300x194.jpg)
Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.
“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.
“Itakuwa inasaidia vijana wenye...
10 years ago
VijimamboDJ SEIF ANAWAALIKA KWENYE BIRTHDAY YAKE JUMAMOSI HII SAFARI CLUB
Kufika kwako ndio kufanikisha Bash hii itakayokufanya kumalizia wiki ya Thanksgiving kwa bash la nguvu ndani ya kiota kinachoongoza Afrika mashariki kilichopo Washington, DC anuani ni 4306 Georgia Av, NW, Washington, DC 20011
KARIBUNI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-1MmND5lN-IXLC8pRuqTVxXo-8-z5qgl9RUOo6T*QU8sa3LMzChUdnDKMvncR2Nfvi2ZpwQ8XapWsorOdwR*0yS/GURUMO1.jpg?width=650)
TAMASHA LA GURUMO KUSTAAFU MUZIKI LAFANA TCC CHANG'OMBE, DAR
11 years ago
MichuziMsondo, Sikinde ngoma nzito TCC Club kesho
Magwiji wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma Music Band ‘Mambo Hadharani’ na Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma Ya Ukae” kesho mchana watachuana vikali katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe, Temeke.
Mpambano huo wa Nani Mtani Jembe ni kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitri na pia litaamua ni bendi ipi kali kati yao.
Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga amesema pambano hilo litaanza saa nane alasiri hadi majogoo.
Kapinga alisema...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s72-c/AfricanNight+(1).png)
SAFARI CLUB THE NUMBER ONE EAST AFRICAN CLUB KESHO IJUMAA, JUMAMOSI NA SUNDAYS REGGAE PLUS
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s1600/AfricanNight+(1).png)
NO COVER CHARGE