Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHRISTIAN BELLA, AOMBA KUSHIRIKI TAMSHA LA GURUMO JUMAMOSI HII TCC CLUB

Christian Bella kutoka Malaika Music Band. MWIMBAJI anayesadikika kuwa na sauti tamu zaidi kwa sasa, Christian Bella kutoka Malaika Music Band, amesema atashiriki tamasha la Gurumo litakalofanyika Jumamosi hii kwenye viwanja wa TCC Club Chang’ombe. Mratibu wa tamasha hilo, Juma Mbizo amesema Christian Bella, ameomba awekwe kwenye ratiba ya waburudishaji ambapo atapanda kuimba japo wimbo mmoja kama ishara ya kuonyesha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASTAA WA SIKINDE KUSHUKA NA NYIMBO 5 TAMASHA LA GURUMO JUMAMOSI TCC CLUB

Muhidin Maalim Gurumo akiwatembelea vijana wake mazoezini Abdalla Gama (shoto) na Miraji Shakashia wakila tizi…

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE

Baadhi ya wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi kwa picha wakati wakimsubiri Bella kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo. Wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi na Mwandishi wa tovuti hii, Gabriel Ng'osha. PREZIDAA wa Malaika Music Band, Christian Bella, anatarajiwa kutua jijini Dar muda wowote kuanzia sasa akitokea nchini Sweden. Baadhi ya mashabiki pamoja na wasanii wenzake wa… ...

 

11 years ago

GPL

MACHO YOTE LEO NI GURUMO 53 TCC CLUB CHANG’OMBE

HATIMAYE ile siku iliyokuwa inasubiriwa na wengi, imewadia, ni GURUMO 53 ndani ya viwanja vya TCC Club, Chang’ombe leo Jumamosi Disemba 14. Kama tangazo linavyojionyesha, ni tamasha kubwa la muziki wa dansi la kustaafu kwa gwiji Muhidin Maalim Gurumo aliyeitumikia fani hiyo kwa miaka 53 mfululizo. Gurumo ataimba angalau wimbo mmoja au zaidi wa kila bendi aliyopitia katika safari yake ndefu kimuziki. Hadi kustaafu kwake...

 

9 years ago

Bongo5

Hii ndio sababu ya Christian Bella kusita kufanya wimbo na Diamond

Christian Bella amesema anashindwa kumwambia Diamond waingie studio na kufanya kolabo kutokana na hofu kuwa huenda muimbaji huyo asipokee vizuri ombi hilo. Bella ambaye alikuwa nyumbani kwa Diamond weekend iliyopita wakati wa 40 ya Tiffah, ameiambia Bongo5 kuwa yeye pamoja na mashabiki wake wanatamani kuona kazi yao ya pamoja. “Wasanii sisi labda nataka niimbe na […]

 

9 years ago

Bongo5

Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’

12301240_431794427022691_698500110_n

Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.

12301240_431794427022691_698500110_n

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.

“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.

“Itakuwa inasaidia vijana wenye...

 

10 years ago

Vijimambo

DJ SEIF ANAWAALIKA KWENYE BIRTHDAY YAKE JUMAMOSI HII SAFARI CLUB

 Dj Seif kotoka Maryland, USADj Seif anawaalika wadau wote siku ya Jumamosi Novemba 29, 2014 kwenye Bash ya siku yake ya kuzaliwa itakayofanyika Safari Club kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 9 alfajiri

Kufika kwako ndio kufanikisha Bash hii itakayokufanya kumalizia wiki ya Thanksgiving kwa bash la nguvu ndani ya kiota kinachoongoza Afrika mashariki kilichopo Washington, DC anuani ni 4306 Georgia Av, NW, Washington, DC 20011

KARIBUNI

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA GURUMO KUSTAAFU MUZIKI LAFANA TCC CHANG'OMBE, DAR

Gurumo (kulia) akipagawisha huku akisindikizwa na Hafsa Kazinja na Hussein Jumbe (kushoto). Hussein Jumbe na mcharaza gitaa maarufu, Miraj Shakashia 'Shakazulu' wakinogesha mambo. Sehemu ya…

 

11 years ago

Michuzi

Msondo, Sikinde ngoma nzito TCC Club kesho

Baadhi ya Wanamuziki wa Bendi ya Msondo Ngoma 
 Magwiji wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma Music Band ‘Mambo Hadharani’ na Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma Ya Ukae” kesho mchana watachuana vikali katika viwanja vya TCC Club  Chang’ombe, Temeke.
Mpambano huo wa Nani Mtani Jembe ni kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitri na pia litaamua ni bendi ipi kali kati yao.
Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga amesema pambano hilo litaanza saa nane alasiri hadi majogoo.
Kapinga alisema...

 

10 years ago

Vijimambo

SAFARI CLUB THE NUMBER ONE EAST AFRICAN CLUB KESHO IJUMAA, JUMAMOSI NA SUNDAYS REGGAE PLUS

LUKE MUSIC FACTORY INVITES YOU FRIDAY, SATURDAY AND SUNDAY REGGAE NIGHT @ CLUB SAFARI WASHINGTON, THE BEST AFRICAN SPOT IN DMV 4306 GEORGIA AVE, NW FROM 9PM-3AM COME AND MINGLE WITH YOUR FRIENDS MUSIC BY DJ SEIF
NO COVER CHARGE



 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani