MASTAA WA SIKINDE KUSHUKA NA NYIMBO 5 TAMASHA LA GURUMO JUMAMOSI TCC CLUB
![](http://3.bp.blogspot.com/-k6Z4Z3ICnOw/UqqrETmDDrI/AAAAAAAFBJE/ej9nSvFKLXc/s640/gurmo+akishiriki+mazoezi.jpg?width=640)
Muhidin Maalim Gurumo akiwatembelea vijana wake mazoezini Abdalla Gama (shoto) na Miraji Shakashia wakila tizi…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSao8My0Ace1roh1JfQhUZfOGGZioMY2S*K-hGXQYNaKbxCYNFe0ErxiLE2KWsDP3lL3o0SUtJ2T8erhPJddEB5L/bella.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA, AOMBA KUSHIRIKI TAMSHA LA GURUMO JUMAMOSI HII TCC CLUB
Christian Bella kutoka Malaika Music Band. MWIMBAJI anayesadikika kuwa na sauti tamu zaidi kwa sasa, Christian Bella kutoka Malaika Music Band, amesema atashiriki tamasha la Gurumo litakalofanyika Jumamosi hii kwenye viwanja wa TCC Club Chang’ombe. Mratibu wa tamasha hilo, Juma Mbizo amesema Christian Bella, ameomba awekwe kwenye ratiba ya waburudishaji ambapo atapanda kuimba japo wimbo mmoja kama ishara ya kuonyesha...
11 years ago
MichuziMsondo, Sikinde ngoma nzito TCC Club kesho
Magwiji wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma Music Band ‘Mambo Hadharani’ na Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma Ya Ukae” kesho mchana watachuana vikali katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe, Temeke.
Mpambano huo wa Nani Mtani Jembe ni kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitri na pia litaamua ni bendi ipi kali kati yao.
Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga amesema pambano hilo litaanza saa nane alasiri hadi majogoo.
Kapinga alisema...
10 years ago
MichuziNani Mtani Jembe ya Msondo, Sikinde siku ya Krismasi TCC CLUB
BAADA ya mechi ya Nani Mtani Jembe kati ya Simba na Yanga kwa mchezo wa soka, Wafalme wa muziki wa dansi nchini bendi pizani za Msondo Ngoma na Mlimani Park Orchestra (Wana Sikinde Ngoma ya Ukae) nao watakuwa na Mtani jembe yao siku ya Krismasi katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe.
Mpambano huo wa Mtani Jembe umeandaliwa na Keen Arts na Bob Entertainment.Mratibu wa mchuano huo Joseph Kapinga amesema pambano hilo litakuwa la kusherekea sikukuu ya Krismasi na kufunga mwaka 2014.Mpambano na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EsBWRqDnwcA/VJso26HJ_JI/AAAAAAAG5qU/KtPwOMJ-5WE/s72-c/unnamed%2B(50)%2B(1).jpg)
Bingwa Msondo, Sikinde kujulikana leo Christmas day TCC Club
![](http://4.bp.blogspot.com/-EsBWRqDnwcA/VJso26HJ_JI/AAAAAAAG5qU/KtPwOMJ-5WE/s1600/unnamed%2B(50)%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rA6CQ1j_Mg8/VadqyxQut-I/AAAAAAAHqDE/rSZbZxEU4K4/s72-c/th%2B%25281%2529.jpg)
Nani Mtani Jembe ya Msondo, Sikinde ni Iddi Mosi TCC Club Chang’ombe
![](http://3.bp.blogspot.com/-rA6CQ1j_Mg8/VadqyxQut-I/AAAAAAAHqDE/rSZbZxEU4K4/s1600/th%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HyHKfhkyu64/VadqygfWZpI/AAAAAAAHqDA/T15JU4S-Khg/s1600/th.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQleMpK13Xzrfq*lMbv1YX*LgqFxG5bAFZhRhL65mb9tF3m6dP6fbkX0O5FTPSw0KsFQTTyF5srnrpo6kfCw1AB/grumo.jpg?width=650)
MACHO YOTE LEO NI GURUMO 53 TCC CLUB CHANG’OMBE
HATIMAYE ile siku iliyokuwa inasubiriwa na wengi, imewadia, ni GURUMO 53 ndani ya viwanja vya TCC Club, Chang’ombe leo Jumamosi Disemba 14. Kama tangazo linavyojionyesha, ni tamasha kubwa la muziki wa dansi la kustaafu kwa gwiji Muhidin Maalim Gurumo aliyeitumikia fani hiyo kwa miaka 53 mfululizo. Gurumo ataimba angalau wimbo mmoja au zaidi wa kila bendi aliyopitia katika safari yake ndefu kimuziki. Hadi kustaafu kwake...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4TETQG4tBiM/U8rqnC9ghAI/AAAAAAAF3zg/fCwtIzhDE5k/s72-c/SH100835.jpg)
Msondo, Sikinde uso kwa uso Iddi Mosi TCC Club
![](http://2.bp.blogspot.com/-4TETQG4tBiM/U8rqnC9ghAI/AAAAAAAF3zg/fCwtIzhDE5k/s1600/SH100835.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IqQLziTISnk/U8rqnKLDEYI/AAAAAAAF3zc/lKN9ty_gKWs/s1600/images+(1).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-1MmND5lN-IXLC8pRuqTVxXo-8-z5qgl9RUOo6T*QU8sa3LMzChUdnDKMvncR2Nfvi2ZpwQ8XapWsorOdwR*0yS/GURUMO1.jpg?width=650)
TAMASHA LA GURUMO KUSTAAFU MUZIKI LAFANA TCC CHANG'OMBE, DAR
Gurumo (kulia) akipagawisha huku akisindikizwa na Hafsa Kazinja na Hussein Jumbe (kushoto). Hussein Jumbe na mcharaza gitaa maarufu, Miraj Shakashia 'Shakazulu' wakinogesha mambo. Sehemu ya…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tamasha La kwanza la The Nyama Choma Festival kwa mwaka 2015 Kufanyika Leaders Club Jumamosi Tarehe 7 February.
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania