Clarke alikua na kesi kabla ya ajali
Mcheza mpira wa zamani Clarke Carlisle alishitakiwa kwa kosa la la kuendesha gari akiwa amelewa .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AI-C-DD*hSfbRARP0hFO2zabHG8dWIyUMqfNsXWjIVEL5848gETJZI4HizvKb4lj8TFsciU3erE0KS-8Fue3peR3BdwDP8X8/Mtikila.jpg)
DP: MTIKILA ALIAWA KABLA YA AJALI
10 years ago
Bongo503 Nov
Video: Trailer ya kwanza ya Furious 7 yaonesha scenes za mwisho za Paul Walker kabla hajafariki kwa ajali
9 years ago
Michuzi21 Oct
UNAFAHAMU NANI ALIANZA KUFUGA MBWA NA ALIKUA AKIISHI WAPI?
![Mbwa](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8xxMgECYoZ348_9ie_r03UBE1bxL7bT45wKhzFz4X-eKfmvRQCk1e9S6eGoujr8LPbM-XLaSDPBY2sEoOtpJLWQ7baxLzNffjX3XhipbYbxjyjpzlku-N6J63OY-9fNVq7-Ee-OZCFzZ4B5gZDASzDC3HoagJwiXd-K7v_rJLjKIpul9QCXnFlGkhF2zpYzbBsU=s0-d-e1-ft#http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/10/20/151020075954_dog_asia_512x288_getty.jpg)
Watafiti hao walichunguza chembe za msambojeni (DNA) za aina 165 ya mbwa, kutoka mataifa 38 katika kile wanachosema ni utafiti mkubwa zaidi, kuwahi kufanyika duniani kuhusiana na uzao wa mbwa.
Utafiti huo unasema kuwa Nepal na Mongolia ni maeneo ya kwanza kabisa ambapo mbweha walianza kuwa marafiki wakubwa wa binadamu,...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Angela Nzilani aligundua alikua na mke mwenza aliyeishi na mumewe mika 10
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CZg18Bj5wVE/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS
RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
CASH BAR
...
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s72-c/image.jpg)
NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s640/image.jpg)
Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....