Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Clarke alikua na kesi kabla ya ajali

Mcheza mpira wa zamani Clarke Carlisle alishitakiwa kwa kosa la la kuendesha gari akiwa amelewa .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DP: MTIKILA ALIAWA KABLA YA AJALI

Marehemu Mch. Christopher Mtikila Na Waandishi Wetu MAPYAA! Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrati (DP), Abdul Juma Mluya ameibuka na kusema mazingira ya kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Mchungaji Christopher Mtikila yamejaa utata huku akiweka wazi kwamba, inavyoonekana aliuawa kabla ya ajali yenyewe. Mtikila alifariki dunia katika ajali ya gari aina ya Toyota Corolla namba… ...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya kwanza ya Furious 7 yaonesha scenes za mwisho za Paul Walker kabla hajafariki kwa ajali

Trailer ya kwanza ya Furious 7 ilizinduliwa Jumamosi, Nov. 1 na kuonesha scenes za mwisho za marehemu Paul Walker alizofanya kabla ya ajali iliyosababisha kifo chake November 2013. Kwenye clip hiyo ya dakika mbili na kitu, Walker aliyekuwa akijulikana kwenye filamu hiyo kama Brian O’Conner anaonekana akifanya kile alichokuwa akikipatia – mbio za magari. “Just […]

 

9 years ago

Michuzi

UNAFAHAMU NANI ALIANZA KUFUGA MBWA NA ALIKUA AKIISHI WAPI?

Mbwa Watafiti wanakubaliana mbwa wamekuwa wakitumiwa na binadamu kwa miaka 15,000,Utafiti mpya unaonyesha kuwa Mbwa walianza kufugwa kwa mara ya kwanza katikati mwa bara Asia.

Watafiti hao walichunguza chembe za msambojeni (DNA) za aina 165 ya mbwa, kutoka mataifa 38 katika kile wanachosema ni utafiti mkubwa zaidi, kuwahi kufanyika duniani kuhusiana na uzao wa mbwa.
Utafiti huo unasema kuwa Nepal na Mongolia ni maeneo ya kwanza kabisa ambapo mbweha walianza kuwa marafiki wakubwa wa binadamu,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Angela Nzilani aligundua alikua na mke mwenza aliyeishi na mumewe mika 10

Alikua na umri wa chini kidogo ya miaka 20 alipokutana na mwanaume ambaye anasema alimpenda sana kiasi kwamba, alihisi kuwa huyo ndiye angelikua mumewe wa kuishi nae maisha yake yote hapa duniani.

 

10 years ago

Vijimambo

ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100

   
                                                  3 COURSE DINNER  & LIVE SHOW
                                                 LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
                                                 LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS 
                                                  RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
                                                  PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER 
                                                                   CASH BAR
                             ...

 

9 years ago

StarTV

 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.

Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.

Baada ya uchaguzi mkuu...

 

10 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI

Johnson LukazaMwesigwa Lukaza 

Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti  wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani