Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Kufungiwa ndani na anayeninyanyasa

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba unyanyasaji wa kijinsia katika ndoa wakati watu wanazuiliwa kutoka nje ni tatizo ambalo linahitaji kushughulikiwa kwa dharura.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAKALA: Ukatili mjamzito apigwa na kufungiwa ndani

>Ni jambo la kawaida kuwaona wanaume  wilayani Serengeti wakiongozana na wake ama watoto wao siku za minada,  kwenda kuuza mifugo ili wanunue mahitaji yao, lakini mapato hudhibitiwa na wanaume.

 

9 years ago

StarTV

Kufungiwa Ndani Ya Ofisi Mwenyekiti wa CCM Iringa adai ni chuki binafsi

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu amedai kuwa hatua ya viongozi wa chama hicho kufungiwa ndani ya ofisi kwa zaidi ya saa nne iliyofanywa na kundi la Umoja wa Vijana UVCCM ni mbinu chafu zilizopangwa dhidi yake.

Uhai wa makundi ya kura za maoni na chuki binafsi vinatajwa kuwa ndiyo kiini cha maneno, vijembe na kuibuka kwa tukio hilo la kufungiwa ambalo pia limemhusisha mkuu wa mkoa aliyekuwa katika kikao cha kamati ya siasa Mkoa.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Fahamu kinachotokea ndani ya mwili mtu akipata virusi hivi

Mtu anahisi vipi anapokuwa coronavirus, virusi hivi vitakuathiri namna gani na tiba ikoje?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Freeman Mbowe asema mtoto wake ameambukizwa virusi vya corona ndani ya Tanzania

Katika taarifa yake kwa umma, Mbowe amesema kuwa mtoto amethibitika kupatikana na virusi vya Corona baada ya kupata homa za vipindi, kuumwa kichwa mfululizo na kukohoa kwa siku tano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Schweinsteiger kufungiwa Mechi 3.

Kiungo wa Manchester United Bastian Schweinsteiger yupo hatarini kufungiwa Mechi 3 za ligi kuu ya England kwa kosa la Kinidhamu.

 

10 years ago

Mwananchi

EU yalaani kufungiwa The EastAfrican

>Siku nne baada ya gazeti  la The EastAfrican kufungiwa kwa madai halijasajiliwa nchini Tanzania, Umoja wa Ulaya (EU) umelaani kwa maelezo uamuzi huo  unaonyesha walakini uliopo katika suala la uhuru wa habari nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Bastian Schweinsteiger kufungiwa na FA

FA-Rungu-1

Kiungo wa Manchester United, Mjerumani Bastian Schweinsteiger 31, anakabiliwa na adhabu ya kufungiwa mechi tatu na chama cha soka England (FA) kutokana na kitendo chake cha kumpiga kiwiko mlinzi wa Westham United, Winston Reid katika mchezo uliomalizika kwa sare ya bila kufungana Jumamosi iliyopita.

wes

Schweinsteiger anatakiwa hadi Alhamis hii, saa sita mchana kukubali au kukataa kosa hilo baada ya FA kumuadhibu Jumatatu hii.

FA-Rungu-1

Chama cha waamuzi kupitia video wamebaini kosa hilo la Bastian...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zahanati kufungiwa umeme wa jua

ZAHANATI zilizopo wilayani Igunga zinatarajiwa kufungwa umeme wa jua ili kuwaepusha wananchi kuchangia mafuta ya taa wakati wanapohitaji huduma nyakati za usiku katika zahanati hizo. Akizungumza na wananchi wa Kijiji...

 

11 years ago

Mwananchi

World Map yakanusha kufungiwa na wizara

>Kampuni ya World Map Consultants inayojihusisha na kutoa ushauri wa uhakiki na upimaji wa viwanja imekanusha madai ya kufungiwa kufanya kazi na kudai  inaendelea  na utekelezaji wa majukumu yake kama kawaida.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani