Coronavirus: Mamilioni ya watu watabaki masikini, Benki ya dunia yaonya
"Athari kubwa za kiuchumi zinaonekana kuathiri mataifa yote duniani na haziwezi kuzuilika”, Benki ya dunia yatoa angalizo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Jun
Benki ya Dunia yaonya ongezeko deni la taifa
BENKI ya Dunia imeonesha wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa deni la taifa kutokana na Serikali kuendelea kukopa mikopo ya biashara ya ndani hadi kuzidi kiwango kilichowekwa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa asilimia 1.2 ya Pato Halisi la Taifa (GDP).
11 years ago
Vijimambo26 Sep
11 years ago
Michuzi26 Sep
10 years ago
Michuzi
NEEC kutoa dhamana ya mamilioni kwa Benki ya Posta

Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) linatarajia kutoa shilingi milioni 700 kwa Benki ya Posta Tanzania kama dhamana ya mikopo itakayotolewa na benki hiyo kwa wajasiriamali hapa nchni.
Mpango huu uko chini ya Mfuko wa Taifa wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ulioanzishwa mwaka 2008 ambao pamoja na majukumu mengine unatumika kutoa au kudhamini mikopo yenye masharti nafuu kwa wajasiriamali nchini.
Fedha hizo zitawekwa katika akaunti maalum katika...
10 years ago
Michuzi
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE





11 years ago
BBCSwahili22 Jan
FIFA yaonya Brazil kuhusu maandalizi ya kombe la dunia
FIFA imetoa onyo kwa Brazil kuwa Curitiba huenda ukaondolewa miongoni mwa miji itakayoandaa fainali ya kombe la dunia kutokana na kuchelewesha kwa ujenzi
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Vijana hawana uwezo wa ''kuiepuka', WHO yaonya
Ujana haukufanyi uwe na kinga dhidi ya coronavirus, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa limeonya huku idadi ya vifo vya virusi hivyo ikifikia zaidi ya 11,000.
11 years ago
Vijimambo08 Oct
KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?

Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: WHO yaonya mataifa ya Afrika 'yajiandae kwa hali mbaya'
Tanzania imeripoti kuongezeka kwa visa viwili zaidi vya maambukizi ya virusi vya corona, huku Shirika la afya duniani likilionya bara la Afrika kujiandaa kwa hali mbaya zaidi ya virusi hivyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania