Cosby aliwalipa wanawake baada ya ngono
Msanii wa vichekesho nchini Marekani Bill Cosby amekiri kujaribu kuwalipa wanawake aliofanya nao tendo la ngono kulingana na ushahidi uliopatikana na gazeti la the New York Times kwa lengo la kuwanyamazisha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Bill Cosby: Wanawake wananisingizia!
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Kizimbani kwa kupeleka wanawake Kenya kufanya biashara ya ngono
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s72-c/MALAYA+WA+DAR.jpg)
KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s1600/MALAYA+WA+DAR.jpg)
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto
11 years ago
Bongo509 Aug
Fundisho: Mwanafunzi wa chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono, baada ya kudanganywa angetafutiwa kazi Ulaya
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WAGANGA WANAOWATIBU WATEJA WAO KWA KUFANYA NAO NGONO WAKAMATWA, WAKUTWA NA NGUO ZA NDANI 22 ZA WANAWAKE HAO
Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote wakazi wa Tandika, baada ya kushiriki ngono na wagonjwa wao huwaambia waache nguo za ndani.
Kamanda Kiondo...
9 years ago
Bongo504 Nov
DJ Crème De La Crème wa Kenya ajitokeza na kuomba msamaha baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja
![creme (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/creme-1-300x194.jpg)
Baada ya kukumbwa na skendo kubwa ya kusambaa mtandaoni kwa mkanda wa ngono, DJ Crème De La Crème wa Kenya amevunja ukimya na kujitokeza kuzungumzia swala hilo pamoja na kuomba msamaha.
DJ huyo maarufu na aliyekuwa akiheshimika, ametumia akaunti yake ya Instagram kuomba msamaha kwa kile kilichotokea.
Crème ambaye ni baba wa watoto wawili ameomba msamaha watu mbalimbali, ikiwemo familia yake, msichana aliyehusika naye kwenye mkanda huo aitwaye Halima, mashabiki wake pamoja na marafiki...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Wadaiwa kuwaua wanawake baada ya kutembea nao
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Maonyesho zaidi ya Cosby yaahirishwa