Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Costech yapongezwa tafiti za ndani

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame MbarawaWAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa amesema Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imefanya kazi kubwa kuhamasisha matumizi ya sayansi na teknolojia nchini na sasa kuna taasisi ambazo zinatengeneza bidhaa ambazo zinasambazwa ndani na nje ya nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA, COSTECH kuendeleza Tehama

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuanzisha na kuendeleza eneo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Eneo...

 

11 years ago

Mwananchi

Costech kusaidia vijana wabunifu

Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imesema itashirikiana na wahisani katika kusaidia vijana ambao wameonyesha uwezo wa kubuni miradi ya maendeleo kwa wajasiliamali kwa kutumia ujuzi wao walioupata katika vyuo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Michuzi

HDIF project launched at COSTECH

By Sharifa Kalokola
The Commission for Science and Technology (COSTECH) in collaboration with the United Kingdom’s Department for International Fund (DFID) have launched the Human Development Innovation Fund (HDIF) on 12th May.
The Human Development fund intends to support innovative approaches to improving the quality, value for money and sustainability of basic services in the education, health and water and sanitation sectors in Tanzania The grant is worth Pounds £ 30...

 

10 years ago

Mwananchi

Tafiti hizi zituzindue Watanzania

Juzi, asasi ya kiraia ya Twaweza kupitia programu yake ya Uwezo, ilitoa ripoti ya utafiti kuhusu uwezo wa stadi za kusoma na kuhesabu kwa wanafunzi wa elimu ya msingi nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Shirikisho lafafanua kuhusu tafiti

SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu la Chama Cha Mapinduzi (CCM), limesema baadhi ya tafiti zilizowahi kufanywa na watu mbalimbali kwa kutumia kivuli cha shirikisho hilo, hazikuwa rasmi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tafiti sera ya filamu yaiva

>Shirikisho la Filamu Tanzania TAFF, pamoja na vyama vingine vinane  vinavyounda umoja huo jana wamewasilisha utafiti  wa sera ya filamu nchini kwa Wizara ya Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni.

 

9 years ago

Mwananchi

UN: Tafiti za uchaguzi hazijaamua mshindi

Zikiwa zimebaki siku 17 kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika nchini huku kampeni zikiendelea kupamba moto, Umoja wa Mataifa (UN) umesema tafiti zilizofanywa juu ya mbio za urais hazitoshi kutoa picha halisi ya atakayeibuka mshindi.

 

11 years ago

TheCitizen

EPZA inks Sh50bn deal with Costech

The Export Processing Zones Authority (EPZA) and the Commission for Science and Technology (Costech) have inked an agreement in which they will cooperate in the development of an area in Bagamoyo for improving the country’s Information and Communication Technology (ICT) sector.

 

10 years ago

Michuzi

WORKSHOP ON INTERNET SECURITY LAUNCHED AT COSTECH

On 20th October 2014, The Tanzanian Commission for Science and Technology (COSTECH) in collaboration with The Islamic Educational, Scientific and Cultural Organization (ISESCO), the Commission on Science and Technology for Sustainable Development in the South (COMSATS), the Inter Islamic Network on Information Technology (INIT) and the COMSATS Institute of Information Technology (CIIT), launched the internet security workshop. The five days international workshop themed “Internet Security:...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani