UN: Tafiti za uchaguzi hazijaamua mshindi
Zikiwa zimebaki siku 17 kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika nchini huku kampeni zikiendelea kupamba moto, Umoja wa Mataifa (UN) umesema tafiti zilizofanywa juu ya mbio za urais hazitoshi kutoa picha halisi ya atakayeibuka mshindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Mshindi atangazwa kabla ya uchaguzi
10 years ago
Vijimambo31 Oct
CCM YAPOKEA KWA FURAHA FRELIMO KUIBUKA ,MSHINDI KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MSUMBUJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-44CbdeNFgqw/VFNS_ZdcTCI/AAAAAAAArlo/PyZd3qoOi24/s1600/NAPE.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa furaha Chama cha Frelimo kuibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 15, mwaka huu.
Katika uchaguzi huo, aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Frelimo, Filipe Nyusi ameibuka kidedea na sasa ndiye Rais Mteule wa Msumbiji ambaye baada ya kuapishwa atashika mikoba itaakayoachwa na Rais anayemaliza muda wake, Armando Gwebuza.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mshindi wa nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, ampongeza msimamizi wa uchaguzi, Dk.Kone
![IMG_1574](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_1574.jpg)
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Tafiti sera ya filamu yaiva
10 years ago
Habarileo30 May
Shirikisho lafafanua kuhusu tafiti
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu la Chama Cha Mapinduzi (CCM), limesema baadhi ya tafiti zilizowahi kufanywa na watu mbalimbali kwa kutumia kivuli cha shirikisho hilo, hazikuwa rasmi.
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Tafiti hizi zituzindue Watanzania
10 years ago
Habarileo26 Jun
Costech yapongezwa tafiti za ndani
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa amesema Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imefanya kazi kubwa kuhamasisha matumizi ya sayansi na teknolojia nchini na sasa kuna taasisi ambazo zinatengeneza bidhaa ambazo zinasambazwa ndani na nje ya nchi.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Tafiti za bahari zasaidia wanawake Z’bar
TAASISI ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam visiwani Zanzibar imesema tafiti za maliasili ya bahari zimesaidia kupunguza tatizo la kadhia ya umasikini kwa wanawake...