Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tafiti hizi zituzindue Watanzania

Juzi, asasi ya kiraia ya Twaweza kupitia programu yake ya Uwezo, ilitoa ripoti ya utafiti kuhusu uwezo wa stadi za kusoma na kuhesabu kwa wanafunzi wa elimu ya msingi nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tafiti hizi zinaacha maswali kwa wasomi wetu

HISTORIA na kumbukumbu zinaonesha kwamba baadhi ya wasomi waliosimama kidete kupiga ramli za matokeo ya urais mwaka 2005, waliibuka na vyeo vinono baada ya uchaguzi mkuu. Taasisi mbalimbali zinazoheshimika zilielezwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyezi Mungu utunusuru Watanzania na ajali hizi

> ‘Raha ya milele uwape ee bwana na mwanga wa milele uwaangazie marehemu wetu wote wapumzike kwa amani.’ Amina.

 

11 years ago

Mwananchi

Akili hizi Watanzania, kwa hakika zitatupeleka pabaya

>Kwa sasa macho na masikio ya Watanzania walio wengi yatakuwa yameelekezwa zaidi kwake Rais Jakaya Mrisho Kikwete, tena kwa sababu hizi ambazo nitazieleza baadaye.

 

9 years ago

MillardAyo

Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao…

Wakenya wameanza mwaka wa 2016 kwa kuomba Watanzania waondolewe kwenye mtandaoa wa Instagram, mtandao maarufu wa kijamii! Watumiaji wa mtandao huo kutoka Kenya, wanadai Watanzania wamethibitisha kuwa hawawezi kutumia mtandao huo vizuri kutokana na lugha nzito inayotumiwa na Watanzania pamoja na tabia ya baadhi ya Watanzania kupost  videos za utupu kwenye mtandao huo. Wakenya wengi […]

The post Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao… appeared first...

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

9 years ago

Mwananchi

UN: Tafiti za uchaguzi hazijaamua mshindi

Zikiwa zimebaki siku 17 kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika nchini huku kampeni zikiendelea kupamba moto, Umoja wa Mataifa (UN) umesema tafiti zilizofanywa juu ya mbio za urais hazitoshi kutoa picha halisi ya atakayeibuka mshindi.

 

10 years ago

Habarileo

Costech yapongezwa tafiti za ndani

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame MbarawaWAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa amesema Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imefanya kazi kubwa kuhamasisha matumizi ya sayansi na teknolojia nchini na sasa kuna taasisi ambazo zinatengeneza bidhaa ambazo zinasambazwa ndani na nje ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Shirikisho lafafanua kuhusu tafiti

SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu la Chama Cha Mapinduzi (CCM), limesema baadhi ya tafiti zilizowahi kufanywa na watu mbalimbali kwa kutumia kivuli cha shirikisho hilo, hazikuwa rasmi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tafiti sera ya filamu yaiva

>Shirikisho la Filamu Tanzania TAFF, pamoja na vyama vingine vinane  vinavyounda umoja huo jana wamewasilisha utafiti  wa sera ya filamu nchini kwa Wizara ya Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani