Shirikisho lafafanua kuhusu tafiti
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu la Chama Cha Mapinduzi (CCM), limesema baadhi ya tafiti zilizowahi kufanywa na watu mbalimbali kwa kutumia kivuli cha shirikisho hilo, hazikuwa rasmi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Zitto Kabwe, MB21 Apr
Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho
Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho
Zitto Kabwe, Mjumbe, BMK
Iwapo Tanzania ni Shirikisho (Federation) au ni Muungano (Union) ni jambo ambalo limekuwa likuzua utata kwa miaka mingi. Hivi sasa katika vikao vya Kamati za Bunge maalumu la Katiba jambo hili limezua mjadala mkubwa ambapo baadhi ya Wajumbe wanapendekeza kuwa neno Shirikisho litoke kwenye sura ya kwanza ya Rasimu ya Katiba na wengine wakipendekeza libakie au hata kuweka wazi kabisa kuwa Tanzania ni Jamhuri ya Shirikisho la...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Nchemba, Polepole watofautiana kuhusu gharama za Shirikisho
10 years ago
Michuzi
JWTZ LAFAFANUA MGOGORO WA ARDHI TONDORONI WILAYANI KISARAWE

5 years ago
Michuzi
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
UN: Tafiti za uchaguzi hazijaamua mshindi
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Tafiti sera ya filamu yaiva
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Tafiti hizi zituzindue Watanzania
10 years ago
Habarileo26 Jun
Costech yapongezwa tafiti za ndani
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa amesema Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imefanya kazi kubwa kuhamasisha matumizi ya sayansi na teknolojia nchini na sasa kuna taasisi ambazo zinatengeneza bidhaa ambazo zinasambazwa ndani na nje ya nchi.
10 years ago
Habarileo22 Jan
Morogoro wataka kunufaika na tafiti za IHI
MKOA wa Morogoro umesema upo tayari kuangalia namna ya kushirikiana na Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) katika utafiti wao wa udhibiti wa malaria, kifua kikuu pamoja na virusi wa Ukimwi na Ukimwi (HIV).