Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF watishia kuwashtaki maofisa ZAN-ID

mnyaaNA ARODIA PETER, DODOMA

WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF), wametishia kuwaburuza mahakamani maofisa wawili wa Vitambulisho vya Ukaazi (ZAN-ID) kwa tuhuma za kuwanyima vitambulisho wananchi zaidi ya 20,000.
Kutokana na hali hiyo, wamesema wananchi hao wamenyimwa haki yao ya kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana kwa niaba ya wenzake, Mbunge wa Mkanyageni, Mohamed Habib Mnyaa, aliwataja maofisa hao kuwa ni Ofisa Mdhamini wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAIMARTHA KUWASHTAKI TIMU WEMA

Mtangazaji maarufu nchini, Maimartha Jesse. Gladness Mallya MTANGAZAJI maarufu ambaye siku chache zilizopita amejiunga na Azam Tv, Maimartha Jesse amewafikisha wafuasi wa Wema Sepetu wanaojulikana kwa jina la ‘Team (Timu) Wema’  kwa mwanasheria wake kutokana na kuendelea na tabia yao ya kumtukana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1fcNbxP ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mali:Kuwashtaki wazazi wa watoto watoro

Mali imesema inapanga kuwashitaki wazazi ambao wanawasafirisha watoto wao wadogo kwenda Ulaya kama wahamiaji,

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA


Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa siku ya Jumapili ya Tarehe 14 mwezi huu wa sita ndiyo siku rasmi ya kumkabidhi rasmi form ya kuomba kugombea urais wa jamhuri ya muunganoi wa Tanzania mwenyekiti wa chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA baada ya kujitokeza mwenyewe katika chama hicho kuomba nafasi hiyo licha ya chama hicho kutangaza kwa muda mrefu watu kujitokeza kutangaza nia.Naibu Mkurugenzi Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo akizngumza na wanahabari mbalimbali makao makuu ya chama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chawaphata watishia kugoma

CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenyeviti CCM watishia kuhama

WENYEVITI wa serikali za mitaa nane kati ya 11 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Morogoro wametishia kujitoa katika chama hicho endapo chama hicho hakitamuomba radhi Diwani wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ulawiti, ubakaji watishia Taifa

>Ilikuwa ni  saa moja na nusu jioni siku ya jumapili wakati,  Anaheri (siyo jina lake halisi) alipokuwa akitoka dukani alikotumwa na mama yake. Si yeye wala mama yake waliokuwa na wasiwasi wowote, kwani mara kadhaa amekuwa akitumwa nyakati hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Watishia kutimua madereva wagomaji

MADEREVA wa mabasi watakaofanya mgomo bila kufuata utaratibu, wakati kukiwa na hatua za kutafuta ufumbuzi wa masuala yao watafukuzwa kazi, imeelezwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo watishia kushambulia Baghdad

Wanamgambo wa kiislam ambao wamedhibiti eneo kubwa la Iraq wanasema sasa wataelekeza mashambulio yao katika mji mkuu Baghdad.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Tunduma watishia kugoma

WAFANYABIASHARA wa Samaki na Dagaa Mamlaka ya mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya wamekusudia kugoma kutoa huduma kwa lengo la kuishinikiza serikali kupunguza viwango vya ushuru wa bidhaa hiyo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani