CUF watishia kuwashtaki maofisa ZAN-ID
NA ARODIA PETER, DODOMA
WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF), wametishia kuwaburuza mahakamani maofisa wawili wa Vitambulisho vya Ukaazi (ZAN-ID) kwa tuhuma za kuwanyima vitambulisho wananchi zaidi ya 20,000.
Kutokana na hali hiyo, wamesema wananchi hao wamenyimwa haki yao ya kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana kwa niaba ya wenzake, Mbunge wa Mkanyageni, Mohamed Habib Mnyaa, aliwataja maofisa hao kuwa ni Ofisa Mdhamini wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mizmdpsNWvPgoyDIyem*5TA-H3l4*5q7R5uptFenvfHn-x41CKXIac08bTmJpoyLmg9RxVM-sX7Amr28H2-aqE9/mai.jpg)
MAIMARTHA KUWASHTAKI TIMU WEMA
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mali:Kuwashtaki wazazi wa watoto watoro
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Chawaphata watishia kugoma
CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Wenyeviti CCM watishia kuhama
WENYEVITI wa serikali za mitaa nane kati ya 11 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Morogoro wametishia kujitoa katika chama hicho endapo chama hicho hakitamuomba radhi Diwani wa...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Ulawiti, ubakaji watishia Taifa
10 years ago
Habarileo23 Jun
Watishia kutimua madereva wagomaji
MADEREVA wa mabasi watakaofanya mgomo bila kufuata utaratibu, wakati kukiwa na hatua za kutafuta ufumbuzi wa masuala yao watafukuzwa kazi, imeelezwa.
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Wanamgambo watishia kushambulia Baghdad
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Wafanyabiashara Tunduma watishia kugoma
WAFANYABIASHARA wa Samaki na Dagaa Mamlaka ya mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya wamekusudia kugoma kutoa huduma kwa lengo la kuishinikiza serikali kupunguza viwango vya ushuru wa bidhaa hiyo....