Cuf yaungana na CCM kupinga matokeo ya ubunge
Chama cha Wananchi (CUF) kinakusudia kufungua kesi kupinga matokea ya majimbo sita likiwemo la Mbagala kwa kuwa kinaamini kimepokwa ushindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Nov
CUF kupinga matokeo ya ubunge majimbo sita
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kinatarajia kufungua kesi katika mahakama mbalimbali nchini kupinga matokeo ya majimbo sita katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Ofisa wa Haki za Binadamu na Sheria wa CUF, Mohamed Mluya, aliyataja majimbo hayo kuwa ni Lindi Mjini, Newala, Mtwara Vijijini, Pangani, Mbagala na Tabora Mjini ambayo uchaguzi wake uligubikwa na dosari mbalimbali.
Alisema...
9 years ago
StarTV04 Nov
 CUF kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi Tabora mjini.
Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Tabora kimeazimia kufungua kesi mahakamani mapema wiki hii kupinga matokeo ya ubunge dhidi ya mgombea wa CCM aliyetangazwa kuwa mshindi wa Jimbo la Tabora Mjini.
Kauli hiyo imetolewa kutokana na kile kilichodaiwa kuwa mgombea wa CUF alipata kura nyingi zaidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi.
Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia CUF chini ya mwamvuli wa UKAWA, Peter Mkufya akisisitiza kwenda mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuporwa...
9 years ago
MichuziKesi ya kupinga matokeo ya ubunge iliyowailishwa na aliyekuwa Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu yaanza
9 years ago
Mwananchi28 Oct
CCM kupinga matokeo majimbo manne
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM kupinga mahakamani matokeo ya majimbo manne
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kutoridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye majimbo ya Kawe, Ndanda, Mikumi na Iringa Mjini na kimesema kitayapinga matokeo hayo mahakamani.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
CCM kupinga matokeo ya Mdee, Mch. Msigwa mahakamani
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o7wAZVv9cn4/U6cQ0pVKHlI/AAAAAAAFsSY/mLfzrRQJBT4/s72-c/seif-sharif.jpg)
CUF kuandamana kupinga diwani wao aliyehamia CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-o7wAZVv9cn4/U6cQ0pVKHlI/AAAAAAAFsSY/mLfzrRQJBT4/s640/seif-sharif.jpg)
Chama cha Wananchi (CUF) wilaya ya Tanga kimesisitiza kufanya maandamano ya amani mwanzo mwa wiki hii ya kushinikiza aliyekuwa Diwani wa chama hicho Kata ya Marungu Mohamed Mambeya, ambaye amehamia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuacha kuhudhuria vikao vya Baraza la Madiwani kutokana na kupoteza sifa.
Kwa mujibu wa Katiba ya CUF kifungu cha 9(1) G ya mwaka 1992 toleo la 2003,”Mwanachama yeyote atasita kuwa mwanachama ikiwa atakuwa mwanachama wa chama kingine cha siasa.
Diwani wa Kata ya Mwanzange...
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Nundu, wagombea udiwani CCM wafungua kesi kupinga matokeo
9 years ago
Habarileo19 Sep
Mgombea ubunge wa CUF ahamia CCM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepasuka wilayani Mafia, mkoani Pwani, baada ya aliyeidhinishwa kugombea ubunge Mafia, Mohammed Albadawi, kuhama chama hicho na kujiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM).