CWT waomba uchunguzi SEK
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeiomba serikali iunde tume kuchunguza adha wanazopata walimu wa Shirika la Elimu Kibaha (SEK) kwani wamekuwa na matatizo makubwa ambayo serikali imeshindwa kuyatatua kwa muda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q1ES-bcIUXY/XnoJFZ7_RhI/AAAAAAAC8vk/3gyG2lkaDNQN5wly7n8Pf32EuhGV-EJJwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0038.jpg)
SHULE YA SEK MAPINGA YAONDOKANA NA UKOSEFU WA MAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q1ES-bcIUXY/XnoJFZ7_RhI/AAAAAAAC8vk/3gyG2lkaDNQN5wly7n8Pf32EuhGV-EJJwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0038.jpg)
WANAFUNZI 320 wa shule ya sekondari ya Kata ya Mapinga wameondokana na kero ya ukosefu wa maji uliokuwa ukiwakabili,baada ya taasisi ya It’s Time To Help Foundation Tanzania ikishirikiana na Feza Schools Tanzania kutekeleza mradi wa uchimbaji kisima kilichogharimu mil.12.
Ofisa Uhusiano wa Taasisi hiyo, Mbwana Kitendo akizungumza kwenye makabidhiano ya mradi huo alisema, taasisi hiyo ina utaratibu wa kutoa misaada kwa jamii katika sekta za afya, elimu na ustawi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D4wuv3aa3jg/XmPoCuaUs2I/AAAAAAALh04/9BasTJjC0JEz5XaL3b9-94eJxMvCC0bNwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKWIRU NA USHIRIKA WAKE ONE TEAM KUIPAISHA TIMU YA MWAMBISI SEK KUPATA UZOEFU GERMAN
WADAU wa michezo kutoka German One Team kwa ushirika na Ibrahim Mkwiru ,wameeleza ndoto yao ya kuchukua timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wa kike, katika shule ya sekondari ya Mwambisi kwenda nchini Ujeruman kuchota uzoefu na timu nyingine za shule za sekondari nchini humo ili kuwa na uzoefu.
Aidha ushirika huo,umeeleza mpira wa miguu sio kwa ajili ya watoto wa kiume pekee hivyo watoto wa kike wanapaswa kujiandaa kuucheza kuanzia mashuleni ili kuweza kuchukuliwa na...
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
CWT yawazawadia walimu wastaafu
CHAMA cha Walimu (CWT) manispaa ya Morogoro kimeanzisha utaratibu mpya wa kuwazawadia walimu wake wastaafu samani mbalimbali kama shukrani ya utendaji wao wa kazi kwa miaka waliotumikia. Akikabidhi zawadi ya...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Muundo wa Muungano waipasua CWT
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
CWT Ngorongoro wamlalamikia Mkurugenzi
CHAMA Cha Walimu Nchini (CWT), wilayani Ngorongoro kimemlalamikia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, John Mgalula kwa kukataa kuunda Baraza la Wafanyakazi. Imedaiwa kuwa hali hiyo imepunguza ari ya watumishi...
11 years ago
Habarileo20 Jan
Walimu Nzega wajitoa CWT
WALIMU wa shule za msingi na sekondari wilayani Nzega mkoani Tabora wamesema wamejitoa katika Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kwa kuwa hakina faida kwao.
11 years ago
Habarileo17 Jan
Wanaopinga CWT kukutana karibuni
KAMATI ya Kitaifa ya wanachama wa chama cha walimu ya kudai mabadiliko ndani ya chama cha walimu Tanzania (CWT), imesema inatarajia kukutana na wanachama, kutoa tamko kutokana na madai yao kutosikilizwa. Mwaka jana Kamati hiyo ilipanga kufanya maandamano, yaliyodaiwa kuwa na tamko zito kuhusu mwenendo uliopo kwa viongozi wa CWT, ambayo baadaye yaliahirishwa.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
CWT yapinga punguzo la mafao
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimepinga vikali punguzo la mafao ya wastaafu wanachama wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) na watumishi wanachama wa LAPF. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Habarileo10 Dec
Walimu wanaoipinga CWT kuandamana
KAMATI ya Kitaifa ya wanachama wa chama cha walimu ya kudai mabadiliko ndani ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT), ina mpango wa kuandamana na kutoa tamko zito, kuhusiana na mwenendo uliopo kwa viongozi wa CWT.