Damu hutolewa bure lakini ...
>Siku za hivi karibuni Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imekuwa ikitoa matangazo katika televisheni na redio kuwa damu inatolewa bure katika hospitali zote na vituo vya afya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzMxe2QHUsCi-RVrEaIj1JhbtOz7YOx5GJjx7dkgiopLsvfuOpGR8atGzrNJ6A1w7lWAX0JYZXCMUq0lBSVj4yXo/mpekecopy.jpg)
OYA UNGEKUWA NA UPUNGUFU WA DAMU NINGEKUONGEZEA LAKINI AKILI…
9 years ago
Bongo501 Nov
Mahaba ya Wana Dar yamfanya Wizkid aahidi show ya bure, lakini…
![20151101012213](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/20151101012213-94x94.jpg)
9 years ago
MichuziKESHO NI SIKU YA MOYO DUNIANI:WANANCHI KUPIMWA SHINIKIZO LA DAMU BURE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s72-c/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
TANZANIA TUNATOA DAMU BURE KWA WOTE WENYE UHITAJI -DKT.MGASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s640/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dkt. Avelina Mgasa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c15e0ebc-398c-430b-bd64-18c13f599003.jpg)
……………………………………………………………………………………………………
MPANGO wa Taifa wa Damu Salama ulio chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto umetoa rai kwa Wananchi kutoa taarifa kwa wanaouza damu ili wachukuliwe hatua kali za kisheria kwani damu inatolewa bure kwa wahitaji.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dk. Avelina Mgasa wakati...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s72-c/Mkuu-4.jpg)
SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s1600/Mkuu-4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya gharama kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
“Tunaomba wananchi wanapohiisi...
11 years ago
GPLMPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani
Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s72-c/yanga%252Blogo.jpg)
AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s400/yanga%252Blogo.jpg)
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EYXbjlLREWo/U5vgEQs9ECI/AAAAAAACjZM/ewbmg7rMYIo/s1600/EXIM+BLOOD+PIX+1.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014