Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahaba ya Wana Dar yamfanya Wizkid aahidi show ya bure, lakini…

20151101012213Mapokezi na mapenzi aliyoyapata Wizkid jijini Dar es Salaam yamemfanye avunje safari yake leo kurudi Lagos, na kuahidi show ya bure Jumapili hii. Wizkid alioneshwa kushangazwa na shangwe za mashabiki hao, hali iliyofanya afanye show kwa muda mrefu zaidi. Alisema hakuwahi kukutana na mashabibi wenye upendo kuwazidi Watanzania. “Ilikuwa niondoke lakini sitaondaka na kesho natafuta […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Damu hutolewa bure lakini ...

>Siku za hivi karibuni Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imekuwa ikitoa matangazo katika televisheni na redio kuwa damu inatolewa bure katika hospitali zote na vituo vya afya.

 

10 years ago

Habarileo

JK aahidi kuisukuma NHC kujenga nyumba Chemba lakini…

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Halmashauri ya Chemba kutoa ardhi kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ili liweze kujenga nyumba kwa ajili ya watumishi wa halmashauri hiyo.

 

9 years ago

Vijimambo

NAPE AWASHUKURU WANA CCM MTAMA AAHIDI KUTOWAANGUSHA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa kura za maoni.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q waangusha show ya nguvu

WizkidMuimbaji mahiri kutoka nchini Nigeria, Wizkid akisindikizwa na wasanii wakubwa wa Tanzania, Diamond, Christian Bella pamoja na Fid Q jana katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam walizikonga nyoyo za mashabiki wa muziki. Wizkid akiwa karibu na mashabiki wake Wasanii hao waliopanda kwenye jukwaa hilo katika mida mida tofauti, kila mmoja alitaka kuonyesha […]

 

9 years ago

Bongo5

Uchambuzi: Show ya Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q ilikuwa moto wa kuotea mbali, soma yaliyojiri

WizkidWakati watanzania wakimaliza salama uchaguzi mkuu October 25 huku wakisubiria kuapishwa kwa rais mteule, Dr John Pombe Magufuli baada ya kuibuka kudedea, weekend iliyopita wapenzi wa muziki wa Dar es Salaam, walipata burudani ya kukata na shoka kutoka kwa msanii wa Nigeria, Wizkid aliyesindikizwa na Diamond, Christian Bella na Fid Q. Wizkid ambaye alitua kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna asema akipata nafasi ya kuja tena Afrika itakuwa ni kwaajili ya show ya bure!

Katika mahojiano na jarida la The New York Style, mwimbaji wa Barbados, Rihanna amesema kuwa endapo atapata nafasi ya kuja tena Afrika basi huenda ikawa ni kwaajili ya kufanya show ya bure. Bahati mbaya ni kuwa hii haiwahusu mashabiki wa Afrika Mashariki kwasababu staa huyo alikuwa akizungumzia Afrika Magharibi. “You know what? If I ever […]

 

9 years ago

Bongo5

Niliwahi kuimba kwenye show za bure zaidi ya 300 kabla sijawa maarufu – Yemi Alade

yemi-alade

Mafanikio kwenye muziki huwa hayaji kirahisi wala kwa muda mfupi. Mmoja wa waimbaji wakubwa wa Afrika, Yemi Alade kutoka Nigeria amesema kuwa aliwahi kuimba kwenye show za bure zaidi ya 300 kabla hajawa msanii mkubwa.

yemi-alade

Yemi aliyejipatia umaarufu mkubwa sehemu nyingi za Afrika kupitia hit song yake ‘Johnny’, amegusia sehemu ya historia yake ya kimuziki katika mahojiano na kituo cha radio Beat Fm cha Nigeria.

“It wasn’t easy in the beginning. I performed at over 300 free shows before I came...

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid amkosha Rais wa Gambia kwenye sherehe za Uhuru wa nchi hiyo, Rais amuomba arudie show siku iliyofata

Wizkid alienda nchini Gambia kwa ajili ya kutumbuiza kwenye sherehe za Uhuru wa nchi hiyo zilizofanyika Jumamosi iliyopita Feb.28. Baada ya kumkosha Rais wa nchi hiyo kwa kufanya show kali mbele ya umati mkubwa wa watu waliohudhuria, alijikuta anaongezewa show ya pili kesho yake likiwa ni ombi la Rais huyo aliyekiri kuwa shabiki wake. Wizkid […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani