Dangote:Nitainunua Arsenal
Mfanyibiashara tajiri zaidi barani Afrika kutoka Nigeria Aliko Dangote anapania kununua klabu ya Arsenal ya Uingereza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 May
Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Aliko Dangote: Mtu tajiri zaidi Afrika apewa bei ya kuinunua Arsenal
10 years ago
Dewji Blog01 May
Pinda akutana na Dangote
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake, ofisini kwake jijini Dar es salaam Aprili 30, 2015. Watatu kushoto ni Balozi wa Nigeria nchini, Dkt. Ishaya Samaila Majanbu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74723000/jpg/_74723327_nigeria.jpg)
Dangote in Nigeria investment drive
9 years ago
Habarileo13 Oct
Dangote ‘kufumua‘ bandari ya Mtwara
UWEZO wa bandari ya Mtwara unatarajiwa kuongezeka mara dufu kufuatia kufunguliwa rasmi kwa kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa kuliko vyote Afrika Mashariki.
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
MO ampiku DANGOTE mfanyabishara bora Afrika
Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.(Picha na African Business).
Na Mwandishi wetu, New York
MTANZANIA Bilionea Mohamed Dewji amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African...
10 years ago
Habarileo23 Aug
Menejimenti ya kiwanda cha Dangote yabanwa
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi ameijia juu menejimenti inayosimamia ujenzi wa kiwanda cha saruji cha Dangote, kwa kutowapatia fursa wahandisi wazawa kushiriki katika ujenzi na uendeshwaji wa mradi huo.
11 years ago
Habarileo24 Jun
Bilionea Dangote kuleta neema Tanzania
KAMPUNI ya Dangote Group inayomilikiwa na bilionea kutoka Nigeria, imetangaza neema itakayotokana na uwekezaji wa kiwanda cha saruji unaofanyika mkoani Mtwara, miongoni mwake ikiwa ni kupungua kwa bei ya saruji uzalishaji utakapoanza.
10 years ago
Michuzi30 Apr
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA DANGOTE
![da1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/da1.jpg)
![da2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/da2.jpg)