Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dangote:Nitainunua Arsenal

Mfanyibiashara tajiri zaidi barani Afrika kutoka Nigeria Aliko Dangote anapania kununua klabu ya Arsenal ya Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!

Tajiri wa kwanza Afrika, Aliko Dangote, amekiri kuwa bado ana mpango wa kuinunua club ya Arsenal licha ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 2010. Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 15.7 (£10.38bn) anawazidi walimiki wa sasa wa club hiyo, Stan Kroenke (£3.7bn) na Alisher Usmanov (£9.65bn). “Bado nina matumaini, siku moja kwa bei sahihi kwamba nitainunua […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Aliko Dangote: Mtu tajiri zaidi Afrika apewa bei ya kuinunua Arsenal

Mtu tajiri zaidi barani AfrikaAliko Dangote hatimaye amepatiwa bei ya kuinunua klabu ya Ligi kuu ya England Arsenal.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na Dangote

PG4A0988

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake, ofisini kwake jijini Dar es salaam Aprili 30, 2015. Watatu kushoto ni Balozi wa Nigeria nchini, Dkt. Ishaya Samaila Majanbu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A0995

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake...

 

11 years ago

BBC

Dangote in Nigeria investment drive

Nigerian businessman Aliko Dangote says he will invest $2.3bn (£1.35bn) in the north of the country, where an insurgency has sparked international concern.

 

9 years ago

Habarileo

Dangote ‘kufumua‘ bandari ya Mtwara

UWEZO wa bandari ya Mtwara unatarajiwa kuongezeka mara dufu kufuatia kufunguliwa rasmi kwa kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa kuliko vyote Afrika Mashariki.

 

9 years ago

Dewji Blog

MO ampiku DANGOTE mfanyabishara bora Afrika

MO dewji

Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.(Picha na African Business).

Na Mwandishi wetu, New York

MTANZANIA Bilionea Mohamed Dewji amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African...

 

10 years ago

Habarileo

Menejimenti ya kiwanda cha Dangote yabanwa

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi ameijia juu menejimenti inayosimamia ujenzi wa kiwanda cha saruji cha Dangote, kwa kutowapatia fursa wahandisi wazawa kushiriki katika ujenzi na uendeshwaji wa mradi huo.

 

11 years ago

Habarileo

Bilionea Dangote kuleta neema Tanzania

Mfanyabishara maarufu wa Nigeria, Aliko Dangote akizungumza na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya TSN, Gabriel Nderumaki (wapili kulia), Mhariri Mtendaji wa Uhuru Publications, Joseph Kulangwa (wapili kushoto) na Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Nurdin Abdallah Mangochi (kulia) jijini Dar es Salaam jana. (Na Mpigapicha Wetu).KAMPUNI ya Dangote Group inayomilikiwa na bilionea kutoka Nigeria, imetangaza neema itakayotokana na uwekezaji wa kiwanda cha saruji unaofanyika mkoani Mtwara, miongoni mwake ikiwa ni kupungua kwa bei ya saruji uzalishaji utakapoanza.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA DANGOTE

da1 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake, ofisini kwake jijini Dar es salaam Aprili 30, 2015. Watatu kushoto ni Balozi wa Nigeria nchini, Dkt. Ishaya Samaila Majanbu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)da2Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani