Dar kuhakiki daftari la wapiga kura Agosti 18
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema uhakiki wa daftari la kudumu la wapigakura kwa mkoa wa Dar es Salaam utaanza Agosti 18 mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi20 Aug
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/WV0F5mhfoGY/default.jpg)
10 years ago
Michuzi08 Aug
TAARIFA KWA UMMA: KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Tunawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR kujitokeza katika vituo walipojiandikisha ili wahakiki taarifa zao. Ambako daftari la mpiga kura limebandikwa. (Display) NA.MIKOATAREHE YA KUANZATAREHE YA KUMALIZA1Njombe, Iringa, Mtwara, Lindi, Ruvuma, Katavi, Rukwa, Mbeya, Dodoma, Singida, Tabora, Kigoma, Kagera, Simiyu, Shinyanga, Geita, Mwanza, Mara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Morogoro.
07/08/201511/08/20152Pwani na...
07/08/201511/08/20152Pwani na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hBmt2I0IwwM/VcWf1c2IDvI/AAAAAAABTRg/f8ibKkz59OM/s72-c/CL3WowIUcAEVYWv.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mMDpQH1hNt8/Vc3vwR4ov6I/AAAAAAAABVc/GvLO53qt0I4/s72-c/MUDA%2BWA%2BNYONGEZA%2B-%2BKUHAKIKI%2BTAARIFA%2BZAO%2B%2BKATIKA%2BDAFTARI%2BLAKUDUMU%2BLA%2BMPIGA%2BKURA%2BJPG.png)
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QMCKznN_Z38/Xkl3exqPJwI/AAAAAAABLtE/v1M-WAZwEkMXAo_jGW2WZiWkfQNndLUUACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA WAANZA DAR,PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QMCKznN_Z38/Xkl3exqPJwI/AAAAAAABLtE/v1M-WAZwEkMXAo_jGW2WZiWkfQNndLUUACLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
WAKAZI wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi
la Uboreshaji wa Daftari Kudumu la Wapiga Kura ulioanza Februari 14 na kumalizika Februari 20 mwaka huu.
Mwito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu,Semistocles Kaijage wakati wa mkutano na Wadau wa Uchaguzi wa Mkoa wa Dar eSalaam hivi karibuni.
"Ninayo furaha sasa kuwafahamisha kuwa maandalizi kwa ajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu...
5 years ago
MichuziNEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Na Chalila Kubuda, Globu ya Jamii .
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania