Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC- Matatizo ya Muungano ni ya mpito

UWEPO wa changamoto za Muungano ni kielelezo cha uhai wa Muungano wenyewe na si vinginevyo, kwani duniani hakuna muungano usio na changamoto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa mpito CAR ajiuzulu

Rais wa mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati Michel Djotodia amejiuzulu baada ya wiki kadhaa za vurugu za kidini

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa mpito aapishwa CAR

Rais wa mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Samba Panza, ameapishwa katika sherehe maalum mjini Bangui.

 

11 years ago

Mwananchi

Bila maridhiano tutapata Katiba ya Mpito

Bunge Maalumu la Katiba liliahirishwa jana asubuhi baada ya kupitisha Kanuni zitakazotumika wakati litakapoanza awamu ya pili kwa kumchagua mwenyekiti wa kudumu na baadaye kujadili Rasimu ya Katiba kabla ya kuandika Katiba Mpya

 

11 years ago

BBCSwahili

Wabunge CAR kumchagua Rais wa mpito

Wabunge katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wameanza mkutano wa kumchagua Rais wa mpito, huku ghasia zikiendelea kati ya waisilamu na wakristo

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata rais wa mpito

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Burkina Faso Michel Kafando, ametajwa kuwa rais wa mpito nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan katika kipindi cha mpito kiuchumi

Takwimukutoka katika serikali ya Japan zinaonesha kwamba uchumi wa nchi hiyo unashuka kwa asilimia 1.9 kwa mwaka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali ya mpito yavunjiliwa mbali Burkina faso

Rais wa mpito Michel Kafando amepokonywa madaraka yake huku serikali yake ikivunjiliwa mbali,kwa mujibu wa afisa mmoja wa jeshi aliyezungumza katika runninga ya taifa la nchi hiyo RTB.

 

10 years ago

GPL

GUY SCOTT ATEULIWA KUWA RAIS WA MPITO NCHINI ZAMBIA

Mhe. Guy Scott. KUFUATIA kifo cha Rais Michael Chilufya Sata, kilichotokea tarehe 28 Oktoba 2014, mjini London na kwa kuzingatia Katiba yake Kifungu cha 38 (1) kinachohusu mamlaka ya Rais, kwamba nafasi ya Rais ikiwa wazi kwa sababu yoyote ile, Makamu wa Rais atakaimu madaraka ya kiti cha Urais hadi uchaguzi mdogo utakapofanyika ndani ya siku tisini (90), hivyo Serikali imemteua Mhe. Guy Scott (MB), Makamu wa Rais, kukaimu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

MICHEL KAFANDO: Rais mteule serikali ya mpito Burkina Faso

NOVEMBA 10 mwaka huu  Burkina Faso   ilikamilisha rasimu ya mkataba ya mpito ambayo ilisababisha upinzani na vyama vya kiraia nchini humo kuafikiana kuhusu baadhi ya vifungu hususan kugawana madaraka katika taasisi mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani