Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC akazia agizo lake 

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda mkoani Katavi, Paza Mwamlima amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za Mpanda na Mji wa Mpanda kuhakikisha wanatekeleza agizo lake la kuwasaka na warudisha shuleni wanafunzi walioacha masoma na kuozwa. Mwamlima alikazia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI

Na Gabriel Ng’osha
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi. Ostaz Juma Namusoma katika pozi na Johari. Habari zilizolifikia Amani kutoka kwa chanzo chetu zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi...

 

9 years ago

Bongo5

Izzo Bizness awajibu mashabiki walioikosoa video yake mpya ‘Shem Lake’

Izzo

Si jambo geni kwa msanii kukosolewa baada ya kuachia kazi yake, lakini kama wakosoaji wakiwa ni wengi zaidi ya wanaoisifia hapo huwa lazima kuna kitu ambacho kweli kinakuwa hakijaenda sawa.

Izzo

Izzo Bizness baada ya kuachia video yake mpya ‘Shem Lake’ siku mbili zilizopita amepata comments tofauti, wapo walioisifia na wengine walioikosoa.

Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio, Izzo amewajibu mashabiki wake na kutoa maelezo kuhusu kwa nini video yake imekuwa tofauti na walivyotarajia, japo...

 

9 years ago

MillardAyo

Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview!

Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pamoja na majarida mbalimbali ya burudani… Nimekutana na interview ya rapper huyo na mtandao wa Yahoo na ndani yake amegusia vitu vingi ikiwemo maana ya jina la ‘Tyga’ , umaarufu na mengine kibao. […]

The post Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview! appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’

Zikiwa zimefikia siku 130 tangu Rais Jakaya Kikwete alipotembelea waathirika wa mafuriko eneo la Buguruni kwa Mnyamani ambako aliagiza kuvunjwa kwa nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa maeneo hayo, agizo hilo bado halijatekelezwa ipasavyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Agizo la wizara litekelezwe

HIVI karibuni gazeti hili liliandika taarifa kuhusu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kubatilisha na kufuta ramani ya upimaji wa viwanja namba E’320/331 yenye usajili namba 72328 eneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Agizo la JK lataabisha wananchi

AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limegeuka neema kwa baadhi ya watendaji wasio waadilifu kutumia nafasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Korogwe watekeleza agizo la Rais

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Tamisemi yaanza kutekeleza agizo

Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeziagiza halmashauri nchini kuanzisha programu maalumu ya chakula kwa shule zote za msingi zilizokuwa zikichangiwa na wazazi.

 

11 years ago

Habarileo

Rukwa wahaha kutekeleza agizo la JK

MKOA wa Rukwa unakabiliwa na changamoto ya kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, baada ya kubainika asilimia 10.6 ndizo zimekamilisha ujenzi huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani