DC akazia agizo lakeÂ
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda mkoani Katavi, Paza Mwamlima amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za Mpanda na Mji wa Mpanda kuhakikisha wanatekeleza agizo lake la kuwasaka na warudisha shuleni wanafunzi walioacha masoma na kuozwa. Mwamlima alikazia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
OSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI
9 years ago
Bongo519 Dec
Izzo Bizness awajibu mashabiki walioikosoa video yake mpya ‘Shem Lake’

Si jambo geni kwa msanii kukosolewa baada ya kuachia kazi yake, lakini kama wakosoaji wakiwa ni wengi zaidi ya wanaoisifia hapo huwa lazima kuna kitu ambacho kweli kinakuwa hakijaenda sawa.
Izzo Bizness baada ya kuachia video yake mpya ‘Shem Lake’ siku mbili zilizopita amepata comments tofauti, wapo walioisifia na wengine walioikosoa.
Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio, Izzo amewajibu mashabiki wake na kutoa maelezo kuhusu kwa nini video yake imekuwa tofauti na walivyotarajia, japo...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview!
Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pamoja na majarida mbalimbali ya burudani… Nimekutana na interview ya rapper huyo na mtandao wa Yahoo na ndani yake amegusia vitu vingi ikiwemo maana ya jina la ‘Tyga’ , umaarufu na mengine kibao. […]
The post Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview! appeared first on...
10 years ago
Mwananchi16 Aug
Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Agizo la wizara litekelezwe
HIVI karibuni gazeti hili liliandika taarifa kuhusu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kubatilisha na kufuta ramani ya upimaji wa viwanja namba E’320/331 yenye usajili namba 72328 eneo...
11 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Agizo la JK lataabisha wananchi
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limegeuka neema kwa baadhi ya watendaji wasio waadilifu kutumia nafasi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Korogwe watekeleza agizo la Rais
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Tamisemi yaanza kutekeleza agizo
11 years ago
Habarileo15 Oct
Rukwa wahaha kutekeleza agizo la JK
MKOA wa Rukwa unakabiliwa na changamoto ya kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, baada ya kubainika asilimia 10.6 ndizo zimekamilisha ujenzi huo.