Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Agizo la JK lataabisha wananchi

AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limegeuka neema kwa baadhi ya watendaji wasio waadilifu kutumia nafasi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wananchi waitaka Serikali itengue agizo la Pinda

Wakazi wa Kata ya Gararagua Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali itengue uamuzi uliotolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wa kuridhia kuuzwa kwa shamba la Gararagua lenye ukubwa wa ekari zaidi ya elfu tatu, ili kulipa deni la Sh bilioni 3.9 inalodaiwa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) na benki ya CRDB.

 

10 years ago

Mwananchi

Mnyika:Rais atekeleze agizo lake kwa wananchi wa Ubungo

  Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatiwa wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita. 

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI DAR WAITIKIA AGIZO LA MAKONDA...BARAKOA KILA MAHALI


Na Said Mwishehe, Michuzi TV.

WAKAZI wa Jiji la Dar es  Salaam wameitikia mwito wa Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda wa kuvaa barakoa kama hatua mojawapo ya kukabiliana na virusi vya Corona.

Juzi Makonda alitangaza kwamba kuanzia Jumatatu (leo) wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam watatakiwa kuvaa barakoa na kwamba kwa wale ambao watakaidi hatua za kisheria zitachukuliwa.Hata hivyo asilimia kubwa ya wananchi wameitikia mwito huo kwani kila kona ya Jiji hilo wamevaa barakoa.

Michuzi TV na Michuzi Blog...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Agizo la wizara litekelezwe

HIVI karibuni gazeti hili liliandika taarifa kuhusu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kubatilisha na kufuta ramani ya upimaji wa viwanja namba E’320/331 yenye usajili namba 72328 eneo...

 

9 years ago

Mwananchi

Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’

Zikiwa zimefikia siku 130 tangu Rais Jakaya Kikwete alipotembelea waathirika wa mafuriko eneo la Buguruni kwa Mnyamani ambako aliagiza kuvunjwa kwa nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa maeneo hayo, agizo hilo bado halijatekelezwa ipasavyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC akazia agizo lake 

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda mkoani Katavi, Paza Mwamlima amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za Mpanda na Mji wa Mpanda kuhakikisha wanatekeleza agizo lake la kuwasaka na warudisha shuleni wanafunzi walioacha masoma na kuozwa. Mwamlima alikazia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lowassa ashangaa agizo la JK kupuuzwa

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ameelezea kusikitishwa kwake na kasi ndogo ya viongozi wa serikali mkoani Arusha katika kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete kutaka kuwepo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korogwe watekeleza agizo la Rais

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...

 

10 years ago

Habarileo

Dar yatekeleza agizo la maabara za JK

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiria kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, kwa mujibu wa agizo lake kwa kila halmashauri za wilaya na manispaa nchini, manispaa za Dar es Salaam zimebainisha kuwa zinaendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa agizo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani