WANANCHI DAR WAITIKIA AGIZO LA MAKONDA...BARAKOA KILA MAHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iGAR8RuFNGk/Xp2lffrd5SI/AAAAAAALnks/a1cE6yjUMGsoUYp17YUw7oZs1Xfx50n_ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111403692_gettyimages-1202165355.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam wameitikia mwito wa Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda wa kuvaa barakoa kama hatua mojawapo ya kukabiliana na virusi vya Corona.
Juzi Makonda alitangaza kwamba kuanzia Jumatatu (leo) wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam watatakiwa kuvaa barakoa na kwamba kwa wale ambao watakaidi hatua za kisheria zitachukuliwa.Hata hivyo asilimia kubwa ya wananchi wameitikia mwito huo kwani kila kona ya Jiji hilo wamevaa barakoa.
Michuzi TV na Michuzi Blog...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EUxLBHpIczE/XptIxjfEDII/AAAAAAALnXk/HRalJfSFrW8RN02o7lQvFCMvHU4HF3NXQCLcBGAsYHQ/s72-c/cbff1d9d-fc62-4859-a4bb-35993c3c95d9.jpg)
RC MAKONDA ATANGAZA KUANZIA JUMATATU WANANCHI WOTE WANAOTOKA MAJUMBANI LAZIMA WAWE WAMEVAA BARAKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EUxLBHpIczE/XptIxjfEDII/AAAAAAALnXk/HRalJfSFrW8RN02o7lQvFCMvHU4HF3NXQCLcBGAsYHQ/s400/cbff1d9d-fc62-4859-a4bb-35993c3c95d9.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WANANCHI wa Jiji la Dar es Salaam hasa wale ambao wanatoka na kwenda kwenye shughuli mbalimbali wanatakiwa kuvaa barakoa kuanzia Jumatatu ya Aprili 20, mwaka huu kama hatua ya kukabiliana na virusi vya Corona na atakayekaidi atachukuliwa hatua kali.
Akizungumza leo Aprili 18, 2020 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema kuwa kuanzia Jumatatu watu wa Jiji hilo watatakiwa kuvaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Makonda kukutana na wananchi wa Kinondoni wenye migogoro ya ardhi kila Ijumaa
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
*Aunda kamati ya kushushughulikia Migogoro ya Ardhi Kinondoni
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa wilaya ya Kinondoni inakabiliwa na changamoto migogoro ya ardhi ambayo inatakiwa kila mtu ambaye amenyimwa haki ya ardhi watapata kutokana na utaratibu uliopo.
Makonda aliyasema hayo hivi karibuni wakati ziara ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZyuJbuTtBC8/XotXIpmjuRI/AAAAAAALmPQ/PVHIlXXoD-84xneh4KW9rXVq5AFXqZKxQCLcBGAsYHQ/s72-c/8c16a246-096d-41b4-93d3-b7b14fb56d67.jpg)
WANANCHI WAITIKIA WITO WA SERIKALI
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Leo Jumatatu Aprili 6, 2020 Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amewashukuru Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kwa kuitikia vyema wito wa Serikali wa kupambana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na kirusi Corona.
Gavana Shilatu ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kukagua maeneo mbalimbali kuona namna gani Wananchi wanajikinga na ugonjwa wa virusi vya Corona ambapo alikuta Watu wengi wamezingatia somo la kunawa kwa kuweka ndoo yenye maji pamoja na sabuni...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Kubenea akamatwa kwa agizo la DC Makonda
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Agizo la JK lataabisha wananchi
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limegeuka neema kwa baadhi ya watendaji wasio waadilifu kutumia nafasi...
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Uteuzi wa Makonda wawa gumzo kila kona mitandaoni, mitaani
Na Andrew Chale wa modewji blog
Ikiwa ni siku moja tu tangu kutangazwa kwa wakuu wapya wa Wilaya mbalimbali za Tanzania Bara, Uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ikiwemo kumteua kada wa Chama cha Mapinduzi anayetokea Jumuiya ya Vijana (UVCCM), Paul Makonda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, watanzania wengi wamebeza uteuzi huo huku wengine wakiunga mkono.
Modewji blog iliweza kuongea na watu mbalimbali juu ya maoni yao kufuatia uteuzi...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Wananchi waitaka Serikali itengue agizo la Pinda
5 years ago
MichuziUKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI
Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...