Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC ataka wanamgambo walioajiriwa kujali tija

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Christopher KangoyeMKUU wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Christopher Kangoye amewataka vijana 120 wa wilaya hiyo waliopata ajira ya kupitia kampuni ya Suma JKT, kuzingatia uadilifu na uzalendo ili wawe na tija kwa taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lowassa ataka tija katika michezo

Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Lowassa amesema juhudi anazofanya Rais Jakaya Kikwete katika kuinua sekta ya michezo nchini bado mafanikio yake hayaridhishi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi waaswa kujali nidhamu

Wanamichezo wanaoshiriki michuano ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) wametakiwa kuzingatia nidhamu, umoja na mshikamano ndani na nje ya uwanja katika michuano hiyo iliyoanza jana kwenye viwanja vya Shirika la Elimu mjini hapa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong yatakiwa kujali Demokrasia

Raia wa Hong Kong nchini China wametakiwa kuunga mkono mapendekezo ya serikali kuhusiana na mabadiliko ya serikali

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yapongezwa kujali wenye ulemavu

SHIRIKISHO la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), limempongeza Rais John Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuyajali na kuyapa kipaumbele masuala ya Watanzania wenye ulemavu kwa kuhamishia masuala yao chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa utekelezaji wenye tija.

 

11 years ago

Habarileo

Kificho apongezwa kujali wajumbe walemavu

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye ni mlemavu, Amon Mpanju amemshukuru Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho pamoja na uongozi wake kwa kuwajali wajumbe walemavu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa Francis awataka viongozi kujali

Papa Francis ametoa wito kwa viongozi wa kimataifa mjini Davos kuhakiksiha kuwa mali na utajiri ulio hapa duniani unatumiwa kumaliza umasikini

 

9 years ago

Habarileo

Makonda aipongeza Basata kujali wasanii

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amelipongeza Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kujali afya za wasanii kwa kuandaa semina maalumu kwa ajili ya kuwaelimisha wasanii umuhimu wa kuwa na bima ya afya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vyashauriwa kujali maoni ya wananchi

WANANCHI wamevitaka vyama vya siasa kuacha mtindo wa kugeuza Katiba kama mali yao badala yake wakubali kusikiliza maoni ya wananchi. Wananchi hao pia wamelaani vikao vya mara kwa mara vinavyofanywa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani