Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC LUDEWA AKEMEA WATU WANAOHUSISHA MASUALA YA MAENDELEO NA SIASA

Na Shukrani Kawogo, Njombe

Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Andrea Tsere amekemea watu wanaohusisha masuala ya maendeleo na siasa na kusababisha wilaya hiyo kubaki nyuma kimaendeleo.

Hayo ameyasema wakati akipokea msaada wa mashine ya kutolea copy iliyotolewa na mdau wa maendeleo ambaye pia ni mzawa wa Ludewa Dk. Primus Nkwera.

Alisema kuwa watu wanafikiri kila maendeleo yatakayofanywa na mdau wanasema ni siasa badala ya kumpa sapoti ya mchango wake.

"Mimi namshukuru Dk. Nkwera kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA MASUALA YA MASUALA YA SIASA NA MAENDELEO YA JAMII WA SEKRETARIETI YA ACP

Balozi wa Tanzania BELUX, Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa ACP Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya ACP anayesimamia masuala ya siasa na maendeleo ya jamii Mhe. Michele Dominique Raymond. Balozi Kamala yuko kwenye ziara ya kukutana na viongozi mbalimbali wa Sekretarieti ya ACP Brussels kwa lengo la kuelewa vyema changamoto zinazokabili ACP na kubaini masuala kipaumbele wakati wa kipindi chake cha uenyekiti...

 

9 years ago

Habarileo

Padre akemea siasa za ukanda na ukabila

PADRE Msaidizi wa Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga, Jimbo Katoliki la Mbinga, Christian Mhagama amekemea tabia ya watu kuzungumzia ukanda na ukabila na kuonya kwamba jambo hilo sio jema kwa taifa na linarudisha nyuma maendeleo.

 

9 years ago

Michuzi

VYAMA VYA SIASA VIACHE KUINGILIA MASUALA YA TUME

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),Jaji Mstaafu,Damian Lubuva akizungumza na makundi maalum  (hawapo pichani)jinsi watashiriki upigaji wa kura Oktoba 25  iliyofanyika Ukumbi wa New Afrika Hoteli jijini Dar es Salaam.Mwenyekiti wa Chama Shirikisho la Watu  wenye Ulemavu Mkoa wa Pwani Adam Shaban akizungumza juu jinsi ushiriki katika upigaji kura Oktoba 25 katika mkutanao uliotishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) uliofanyika leo katika Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Slaam.

 

9 years ago

Michuzi

MDAHALO WA VYAMA VYA SIASA VIKIJADILI MASUALA LA ELIMU NA AFYA

MDAHALO WA VYAMA VYA SIASA JUMAPILI 13 SEPTEMBER SAA SABA MCHANA Tarehe: Jumapili Septemba 13 2015
Muda: 7:00 – 10:00am (Saa saba mchana hadi saa kumi jioni)
Mahali: Ukumbi wa Julius Nyerere International Conference Centre (JNICC) – Posta

Midahalo hii inalenga kuvipa vyama vyote fursa ya kunadi Ilani zao na kwa wananchi kuuliza maswali muhimu yatakayo pelekea maamuzi yao katika uchaguzi. Vyama vinavyoshiriki ni vile vyenye wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII AKEMEA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA

Katibu Mkuu wizara ya Maendeleo ya Jamii Anna Maembe akizungumza na wataalamu wa wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa jana. Kushoto ni Mkuu wa wilaya Moshi Chang'a na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Herbert Bilia. DC wa Kalambo Mkoani Rukwa Moshi Chang'a akikabidhi hundi ya shilingi milioni 7 kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo Herbert Bilia. Kulia ni Katibu Mkuu wazara ya Meanedeleo ya Jamii aliyetoa hundi hiyo.
Mkuu wa wilaya Kalambo Mkoani Rukwa Moshi Chang'a akizungumza wakati wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa (Kulia) akishirikiana na wananchi kuchimba barabara inayotoka kata ya Mbwila kwenda Lifuma. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa(Kulia) akiwa na baadhi ya wananchi wakipita katika barabara baada ya kumaliza zoezi la uchimbaji.  Wananchi wakikata ikiwa ni harakati ya kut engeneza barabara
 Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma wakichimba barabara
 Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma  wakichimba barabara Na Shukrani Kawogo

Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...

 

11 years ago

Michuzi

mama pinda katika mkutano wa Dunia wa masuala ya Amani, Usalama na Maendeleo jijini Seoul, Korea Kusini.

 Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda (wa tatu kushoto) akiwa na viongozi wakuu wakifuatilia mada kwenye mkutano wa siku moja ulioandaliwa na Shirikisho la Wanawake na Amani Duniani  (WFWP) kwenye ukumbi wa Jumba la Makumbusho la Kimkoo, jijini Seoul, Korea Kusini leo mchana (Agosti 11, 2014). Kutoka kushoto ni Balozi wa Uruguay nchini Korea, Alba Rosa Legnani, Mke wa Rais wa visiwa vya Marshall, Bibi Lieom Anono Loeak na wa kwanza kulia ni mke wa Rais wa zamani wa Uruguay, Bibi Mercedes...

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA DODOMA OFISINI KWAKE KUZUNGUMZIA MASUALA YA USHIRIKIANO NA MAENDELEO

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akiwa amepokea zawadi yenye heshima kwa asili ya watu wa korea kutoka kwa mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ya bunge la Jamhuri ya Korea Mr. AHN Hong  Joon (kushoto) kiongozi huyo na ujumbe kutoka Bunge la Korea na shirika la kimataifa la misaada la Korea-KOICA katikati ya wiki  walimtembelea Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ofisini kwake kuzungumzia masuala ya mashirikiano na maendeleo.  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (kulia) akielezea fursa...

 

9 years ago

Michuzi

WAANGALIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI WAENDELEA KUPATA UFAFANUZI JUU YA MASUALA YANAYOHUSIANA NA VYAMA VYA SIASA NA UCHAGUZI.

 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini . Jaji Francis S. K  Mutungi akizungumza na Waangalizi wa  uchaguzi Mkuu  kutoka Bunge la Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi hiyo jana Oktoba 21,2015. Baadhi ya Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Bunge la Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)kushoto ni Msajili Msaidizi Usajili wa Vyama vya Siasa Bw. Sisty Nyahoza akielezea utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa ,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani