DC LUDEWA AKEMEA WATU WANAOHUSISHA MASUALA YA MAENDELEO NA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xhgIfvtbEnU/Xu3hPPD3cgI/AAAAAAALuuM/fGrEzhsJnwAser8bxnboAlyKGc22Ry9eACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B12.14.55%2BPM.jpeg)
Na Shukrani Kawogo, Njombe
Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Andrea Tsere amekemea watu wanaohusisha masuala ya maendeleo na siasa na kusababisha wilaya hiyo kubaki nyuma kimaendeleo.
Hayo ameyasema wakati akipokea msaada wa mashine ya kutolea copy iliyotolewa na mdau wa maendeleo ambaye pia ni mzawa wa Ludewa Dk. Primus Nkwera.
Alisema kuwa watu wanafikiri kila maendeleo yatakayofanywa na mdau wanasema ni siasa badala ya kumpa sapoti ya mchango wake.
"Mimi namshukuru Dk. Nkwera kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s72-c/unnamed+(62).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA MASUALA YA MASUALA YA SIASA NA MAENDELEO YA JAMII WA SEKRETARIETI YA ACP
![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s1600/unnamed+(62).jpg)
9 years ago
Habarileo06 Jan
Padre akemea siasa za ukanda na ukabila
PADRE Msaidizi wa Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga, Jimbo Katoliki la Mbinga, Christian Mhagama amekemea tabia ya watu kuzungumzia ukanda na ukabila na kuonya kwamba jambo hilo sio jema kwa taifa na linarudisha nyuma maendeleo.
9 years ago
MichuziVYAMA VYA SIASA VIACHE KUINGILIA MASUALA YA TUME
9 years ago
Michuzi10 Sep
MDAHALO WA VYAMA VYA SIASA VIKIJADILI MASUALA LA ELIMU NA AFYA
Muda: 7:00 – 10:00am (Saa saba mchana hadi saa kumi jioni)
Mahali: Ukumbi wa Julius Nyerere International Conference Centre (JNICC) – Posta
Midahalo hii inalenga kuvipa vyama vyote fursa ya kunadi Ilani zao na kwa wananchi kuuliza maswali muhimu yatakayo pelekea maamuzi yao katika uchaguzi. Vyama vinavyoshiriki ni vile vyenye wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII AKEMEA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IJ4aPt-HpNY/UwRfreF0EGI/AAAAAAAFN3k/a3fZWaDHSq4/s1600/Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+akizungumza+na+wataalamu+wa+wilaya+ya+Kalambo+Mkoa+wa+Rukwa+jana.+Kushoto+ni+Mkuu+wa+wilaya+Moshi+Chang'a+na+kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-839lJW_mepg/UwReWv0Sz9I/AAAAAAAFN3U/g2Lb40a-vPk/s1600/DC+wa+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akikabidhi+hundi+ya+shilingi+milioni+7+kwa+Kaimu+Mkurugenzi+wa+Halmashauri+ya+wilaya+hiyo+Herbert+Bilia.+Kulia+ni+Katibu+Mkuu+wazara+ya+Meanedeleo+ya+Jamii+aliyetoa+hundi+hiyo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L-m0e43rk-k/UwResIzVoPI/AAAAAAAFN3c/d_8jaUsUxOs/s1600/Mkuu+wa+wilaya+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akizungumza+wakati+wa+ziara+ya+Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+(katikati)+wilayani+humo+jana.+Kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s72-c/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s640/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7TOBNkJ7Iag/XrwUMgfGP3I/AAAAAAALqHU/kYZp9A0NkcQ_BAC2wJFOh4ag26okD6mawCLcBGAsYHQ/s640/c165ad58-0537-40cf-a3e4-06bc1957a5bc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bO7nq8bOXWo/XrwULQOBUbI/AAAAAAALqHI/0OTx-RdWQlYJNZSuFOHwAphbEIGkCbgVgCLcBGAsYHQ/s640/1e830f54-c6d5-4684-b093-c56c5b43ec55.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eRn39kPOTHw/XrwULbxJ6vI/AAAAAAALqHE/CYJVFcpVgTkmXcevvn4yjpx93NfKAgHXQCLcBGAsYHQ/s640/8c7040be-249d-4f98-a635-349eb9cb4b67.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Op6bawHq3Mo/XrwULadfFII/AAAAAAALqHM/Yt5RhdzpSK0u0kkZ0G-RidmVv1jfAT_zQCLcBGAsYHQ/s640/16eda9aa-ae11-44a5-9ef2-7cef813526f0.jpg)
Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rqTubKysjU8/U-j09nlCF6I/AAAAAAAF-ik/cf0C2FboFws/s72-c/unnamed+(8).jpg)
mama pinda katika mkutano wa Dunia wa masuala ya Amani, Usalama na Maendeleo jijini Seoul, Korea Kusini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rqTubKysjU8/U-j09nlCF6I/AAAAAAAF-ik/cf0C2FboFws/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e4g6CyDH-II/UyR6UamoxyI/AAAAAAAFTms/GVkx-II8fvQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA DODOMA OFISINI KWAKE KUZUNGUMZIA MASUALA YA USHIRIKIANO NA MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-e4g6CyDH-II/UyR6UamoxyI/AAAAAAAFTms/GVkx-II8fvQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nZEMdukSZEc/UyR6V9bablI/AAAAAAAFTm0/Js8u7aWVbsI/s1600/unnamed+(16).jpg)
9 years ago
MichuziWAANGALIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI WAENDELEA KUPATA UFAFANUZI JUU YA MASUALA YANAYOHUSIANA NA VYAMA VYA SIASA NA UCHAGUZI.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10