Diamond aitaja tarehe ambayo Tiffah ataoneshwa sura kwa mara ya kwanza
Hatimaye Diamond ameitaja tarehe ambayo sura ya binti yake Tiffah itaoneshwa hadharani kwa mara ya kwanza. Tarehe 20 Septemba ndiyo siku ambayo Diamond na Zari wamepanga kuitambulisha sura ya mtoto wao Latiffah kwa ulimwengu, lakini kuna jambo kubwa ambalo litaambatana na utambulisho huo. Licha ya kuwa Tiffah mwenye umri wa mwezi mmoja ni balozi wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/TIFFAH-DIAMOND-4.jpg?width=650)
KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!
10 years ago
Bongo530 Sep
Diamond aitaja ‘Kesho’ kama ngoma yake ambayo hajawahi kuipenda
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond
9 years ago
Bongo519 Aug
Zari asema wataionesha sura ya Tiffah baada ya siku…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Beyonce-Jay-Z-Best-PDA-Moments-Pictures.jpg?width=650)
JAY-Z Vs DIAMOND, TIFFAH Vs BLUE IVY, WANAVYOFUNIKA KWA REKODI
9 years ago
Bongo521 Sep
Mashavu kwa Tiffah hayajaja yenyewe tu, ni ubunifu wangu — Diamond
9 years ago
Bongo512 Oct
Diamond aeleza kwanini ‘alidedicate’ tuzo zake za Afrimma kwa Tiffah
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Sura ya mtoto wa Diamond itaonyeshwa kwa fedha
NA MELCKZEDECK SIMON
MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ na mpenzi wake, Zarina Hassani ‘Zari’, wamekubaliana kutoonyesha sura ya mtoto wao wa kike, Tiffah hadi atakapofikia siku arobaini tangu kuzaliwa kwake.
Alisema makubaliano ya kuendelea kumficha mtoto huyo asionekane kwa jamii yametokana na makubaliano waliyonayo na makampuni mbalimbali yanayomdhamini.
Diamond alieleza hayo juzi katika kipindi kipya cha Uhondo kinachorushwa na Redio Efm chini ya uongozi wa...