DIAMOND NA KUNDI LAKE WALA CHAKULA NA WATOTO YATIMA MOMBASA NCHINI KENYA
Diamond Platnumz na kundi lake wakiwa na watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya walipotembelea makazi yao na kula chakula na watoto hao.
Diamond Platnumz akimsaidia mmoja ya watoto yatima wa kituo hicho mjini Mombasa nchini Kenya kula chakula.
Diamond Platnumz na kundi lake wakiwa kwenye kituo cha kulea watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya.
Diamond na kundi lake wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya.
Picha kwa hisani ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-G2EsB_s4pV4/VEVffbhv8oI/AAAAAAABKIA/dPzVzluTDZA/s72-c/10610571_10153182179915283_6800366833765119302_n.jpg)
10 years ago
CloudsFM05 Nov
MISS TANZANIA NAMBA TATU JIHAN ALA CHAKULA NA WATOTO YATIMA
Miss Tanzania namba tatu mwaka huu,Jihan Dimack jana alitembelea kituo cha watoto yatima cha Mwana Orphanage Centre" kilichopo maeneo ya Vingunguti,jijini Dar na kula nao chakula cha mchana na kuwapa moyo wasijione kama wametengwa na jamii kwani wajione kama watoto wengine.
Pia mrembo huyo alitoa msaada wa pesa kwa ajili ya shule kwa watoto hao,Jihan amekuwa mrembo wa kwanza kuanza kutoka misaada kwa jamii tangu mashindano hayo yamalizike hivi karibuni.
9 years ago
Bongo523 Oct
Sisqo na kundi lake la Dru Hill kutumbuiza Kenya Jumamosi hii
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-turLpmImleY/VJMN5Jo6LhI/AAAAAAAG4Qc/s-MoRVH1nr8/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Lake Duluti Serena Hotel yatoa zawadi kwa watoto yatima
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s72-c/20140727_153713.jpg)
kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kwa watoto yatima wa kituo cha CHAKUWAMA,Sinza
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s1600/20140727_153713.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NUCyfhwYNGI/U9YkoyGfVMI/AAAAAAAF7U4/m-xuh4qvWvs/s1600/20140727_153727.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6R9Tzuxdlmo/U9YksWTOiqI/AAAAAAAF7VI/tziR8XuvoCU/s1600/20140727_153757.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Dec
Hoteli ya Giraffe Ocean View yaanda chakula cha mchana kwa watoto yatima na kuwakabidhi zawadi za X-Mass
Watoto wanaolelewa katika Kitu cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, wakiwasili katika eneo la Hoteli ya Giraffe Ocean View, Dar es Salaam juzi baada ya kualikwa kwa ajili ya kupewa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi pamoja na chakula cha mchana. (Na Mpigapicha Wetu).
Watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam, wakijihudumiwa chakula cha mchana juzi kilichoandaliwa na Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyopo jijini ambapo pia walipewa zawadi ya mbuzi, mchele na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9v6ExvqiI88/VYrdoGofoJI/AAAAAAAHjkk/ObEscIKNcVw/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Airtel yatoa 20m/- kufuturisha Vituo vya watoto yatima nchini