Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS TANZANIA NAMBA TATU JIHAN ALA CHAKULA NA WATOTO YATIMA

Miss Tanzania namba tatu mwaka huu,Jihan Dimack jana alitembelea kituo cha watoto yatima cha Mwana Orphanage Centre" kilichopo maeneo ya Vingunguti,jijini Dar na kula nao chakula cha mchana na kuwapa moyo wasijione kama wametengwa na jamii kwani wajione kama watoto wengine.Pia mrembo huyo alitoa msaada wa pesa kwa ajili ya shule kwa watoto hao,Jihan amekuwa mrembo wa kwanza kuanza kutoka misaada kwa jamii tangu mashindano hayo yamalizike hivi karibuni.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

REDDS MISS TANZANIA 2013 AWAFARIJI WATOTO YATIMA

Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akipinga hodi ikiwa ni ishara ya kukaribishwa katika Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro , ambapo alifuatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perrty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania na kupokelewa na Mama Mkuu wa Kituo hicho, Sista...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jihan Dimachk ndiye Redd’s Miss Tanzania Top Model 2014

Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania Top Model 2014, Jihan Dimachk (katikati) akipozi kwa picha na mshindi wa pili Doreen Robert (wapili kulia), mshindi wa tatu Evelyn Baasa ambaye pia ni Miss Tanzania Photogenic 2014 (wapili kushoto), mshindi wa nne, Lilian Timothy (kulia) na Mshindo wa tano Nasreen Abdul, mara baada ya kushinda taji hilo jana ambapo Jihan amekuwa mrembo wa pili kuingia katika nusu fainali za Miss Tanania 2014 baada ya Miss Photogenic. Shindano la Miss Tanzania Top...

 

10 years ago

Vijimambo

Jihan Dimachk atwaa taji la Redd's Miss Tanzania Top Model 2014

Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania Top Model 2014, Jihan Dimachk (katikati) akipozi kwa picha na mshindi wa pili Doreen Robert (wapili kulia), mshindi wa tatu Evelyn Baasa ambaye pia ni Miss Tanzania Photogenic 2014 (wapili kushoto), mshindi wa nne, Lilian Timothy (kulia) na Mshindo wa tano Nasreen Abdul, mara baada ya kushinda taji hilo jana ambapo Jihan amekuwa mrembo wa pili kuingia katika nusu fainali za Miss Tanania 2014 baada ya Miss Photogenic. Shindano la Miss Tanzania Top Mode...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NA KUNDI LAKE WALA CHAKULA NA WATOTO YATIMA MOMBASA NCHINI KENYA

Diamond Platnumz na kundi lake wakiwa na watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya walipotembelea makazi yao na kula chakula na watoto hao.  Diamond Platnumz akimsaidia mmoja ya watoto yatima wa kituo hicho mjini Mombasa nchini Kenya kula chakula.Diamond Platnumz na kundi lake wakiwa kwenye kituo cha kulea watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya. Diamond na kundi lake wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima mjini Mombasa nchini Kenya.Picha kwa hisani ya...

 

10 years ago

GPL

MISS ILALA NO 2 AWAPATIA ZAWADI WATOTO YATIMA, WAMUOMBEA DUA MAALUM

Mkuu wa wilaya, Raymond Moshi ya Ilala akitoa mkono wa heri kwa mrembo kwa ajili ya kupeleka misdaa mbalimbali kwenye jamii. Miss Nasreem Abdul akiwa pamoja na wasichana waliofanyiwa ukatili na kutelekezwa na sasa wanalelewa na TAASISI YA WANAWAKE KATIKAA JITIHADA KIMAENDELE "WAJIKI" Kilichopo Mwananyamala Kinondoni Jijini Dar.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Hoteli ya Giraffe Ocean View yaanda chakula cha mchana kwa watoto yatima na kuwakabidhi zawadi za X-Mass

giraffe 5

Watoto wanaolelewa katika Kitu cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, wakiwasili katika eneo la Hoteli ya Giraffe Ocean View, Dar es Salaam juzi baada ya kualikwa kwa ajili ya kupewa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi pamoja na chakula cha mchana. (Na Mpigapicha Wetu).

giraffe 3

Watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam, wakijihudumiwa chakula  cha mchana juzi kilichoandaliwa na Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyopo jijini ambapo pia walipewa zawadi ya mbuzi, mchele na...

 

11 years ago

Michuzi

JIHAN NDIYE MISS DAR CITY CENTRE 2014

 Washiriki wa Miss Dar City Centre wakitoa burudani   Washiriki wa Miss Dar City Centre wakitoa burudani Hatimaye mbio za kumsaka Miss dar City Centre 2014 zahitimishwa  usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Dar es salaam free market baada ya mshiriki namba kumi na saba (17) Jihan Dimechk kutawazwa mshindi wa Miss Dar City centre 2104. Picha na Justine Kazaura wa Light Photo Studio

 

10 years ago

GPL

JIHAN DIMESH AWA REDD’S MISS ILALA 2014

  Jihan Dameshi akiwa na mshindi wa pili Nasreen Abdul (kushoto)na Happiness Sostheen.     …Wakijitayarisha kumtangaza mshindi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani