Diego kusaini miaka miwili Yanga
Kiungo mpya wa Yanga, Issoufou Boubacar ‘Diego’ amefuzu vipimo vya afya na muda wowote leo anatarajiwa  kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu hiyo. Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-1t7JjTZx1VHjmJo*75Xc4NEZ73oz-LyPgp6yEshqlIHspRoAgyHIpJfBjIEGMKQ*yj*PIbOoFASLTXPU0QPT9i/okwi.jpg)
OKWI AKISAINI YANGA MIAKA MIWILI NA NUSU
Emmanuel Okwi akiweka alama ya dole gumba mbele ya Mjumbe wa Kamati ya Mashindano wa Yanga, Musa Katabaro (kushoto) wakati akisaini mkataba wa kuichezea Yanga miaka miwili na nusu mpaka mwishoni mwa msimu wa 2015/2016. Kulia ni Mwanasheria/Meneja wa Okwi, Edgar Agaba. (Picha na Yanga).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1Gsv29f8EBk5t*LbBpcdhMHYzD1lb1FDE1LvOA2XZ6W8yOXfM8jY52QzjBoMWabtbbk9y3oJRTrvB9onmsNMHPVTp/Msuva.jpg?width=650)
Msuva amkomesha baba yake, asaini miaka miwili Yanga
Winga wa Yanga, Simon Msuva. Wilbert Molandi, Dar es Salaam KAMA amemkomesha baba yake mzazi vile, winga Simon Msuva amesaini mkataba mwingine wa miaka miwili ya kuendelea kuichezea Yanga inayojiandaa na Kombe la Kagame, Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika. Awali, baba wa winga huyo, Happygod Msuva, alimzuia mwanaye kusaini mkataba mwingine wa kuendelea kuichezea Yanga, badala yake aende Simba akapate changamoto mpya....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lPTFd4gKQrf3QPhwTGK2FxmKpUr9DvGJXnpN1AkTjcJFcRcgYsFHbTPY7Zky-6gMf5AiR-FkF2lNUlXW8LUVhg7/NIYONZIMA.jpg)
Niyonzima agoma kusaini mkataba mpya Yanga SC
Mchezaji wa Yanga, Haruna Niyonzima. Na Elius Kambili,
YANGA wajanja sana, kwani wanataka Haruna Niyonzima asaini mkataba mpya na klabu yao halafu malipo yafanyike baadaye kwa awamu jambo ambalo limepingwa na kiungo huyo raia wa Rwanda. Niyonzima ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao mikataba yao itafikia tamati mwishoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara ifikapo Mei, mwaka huu.Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa kiungo huyo,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjs6*Wd0SIUPF-d2oOgWJRDkxjA0guUdqFPxByNhQST6O7*XeB8pvj3SNfFIPZsnc48UeT-l6QfGcNht4jMawwG/msuva.jpg)
Msuva alimzuia mdogo wake kusaini Yanga
JAMES Msuva ambaye ni mdogo wake kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva. Na Wilbert Molandi
JAMES Msuva ambaye ni mdogo wake kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, ametamka kuwa angesaini muda mrefu kuichezea Jangwani, lakini kaka yake ndiye kizuizi kikubwa kwake. Simba hivi sasa ipo kwenye mazungumzo na James mwenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi ndani ya uwanja ambazo ni namba 7, 10 na 11, kwa kumsainisha mkataba wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2C1Kdsbffb4/VQj2dKk_cKI/AAAAAAAHLLE/ZxPXyAB1pmM/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
MRISHO NGASSA ATUMISHA MSULI, AGOMA KUSAINI YANGA!
![](http://1.bp.blogspot.com/-2C1Kdsbffb4/VQj2dKk_cKI/AAAAAAAHLLE/ZxPXyAB1pmM/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Mrisho Ngassa amegoma kusaini mkataba mpya na Yanga mpaka uongozi utakampomlipa deni lake la Sh45 milioni, akidai kwamba uongozi wa Yanga ulimuhadaa akope fedha zake benki ya CRDB ili ailipe Simba kwa kile walichomuadi kumlipia deni hilo.
"Yanga wasipotoshe ukweli...wao waliniambia nikope fedha, watalipa. Matokeo yake wananikata mshahara wangu wote, nimegoma kusaini ndiyo! Mpaka wanilipe deni langu Sh45 milioni wakishanilipa nitakubali kukaa mezani tujadili mkataba mpya."alisema...
9 years ago
Michuzi30 Sep
NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI
NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI
Kamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na...
![](http://tff.or.tz/images/gs.png)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Santo miaka miwili Simba
KLABU ya Simba imesajili nyota wawili Wakenya; Raphael Mungai kutoka Klabu ya KCB ya Kenya anayecheza nafasi ya ushambuliaji na kiungo wake wa zamani, Jerry Santo akitokea Coastal Union ya...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Phiri aomba miaka miwili
Kocha wa Simba, Mzambia Patrick Phiri amesema iwapo klabu yake itamvumilia kwa miaka miwili atatengeneza wachezaji bora kama ilivyo kwa nyota wa TP Mazembe ya DR Congo (DRC), Mbwana Samatta.
11 years ago
Mwananchi14 Jun
UKATILI: Mtoto ateswa miaka miwili
>Mtoto Merina Mathayo (15) amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (Moi) Muhimbili Dar es Salaam, baada ya kuteswa na kujeruhiwa kichwani kwa kipigo maeneo mbalimbali ya mwili na bosi wake kwa miaka miwili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania