Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Kamani aonya watakaohujumu miradi

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amewaonya watendaji watakaotafuna fedha za miradi mbalimbali inayotekelezwa Jimbo la Busega mkoani Simiyu. Dk. Kamani, alitoa onyo hilo juzi wakati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

10 years ago

Habarileo

Kamani ahamasisha kujiandikisha

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Dk Titus Kamani amewaambia wananchi wa Mji wa Kahama kuwa ili Mbunge wa Jimbo Kahama James Lembeli arejee bungeni ni vyema wakajitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kamani adaiwa kumdanganya JK

p>MBUNGE wa Busega mkoani Simiyu, Dk. Titus Kamani (CCM) anadaiwa kumdanganya Rais Jakaya Kikwete kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo jimboni mwake. Inadaiwa kwamba hivi karibuni Rais Kikwete akiwa ziarani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamani apania wanaodhulumu wafugaji

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amesema atapambana na majambazi na wanaodhulumu wavuvi na wafugaji ili kukomesha tabia hiyo. Alisema hayo juzi alipokuwa akiwahutubia mamia ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima, wafugaji wampongeza Kamani

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amepokewa na ujumbe mzito kutoka kwa Chama cha Wavuvi na Wafugaji waliofika mkoani hapa. Dk. Kamani juzi alifanyiwa sherehe za...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani

KamaniNA JOHN MADUHU, MWANZA

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.

Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamani awananga wanaobeza kilimo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani amesema sekta ya kilimo na ufugaji iko kwenye wakati mgumu kutokana na wasomi wengi wa sekta hizo kuacha kujishughulisha nazo.

 

10 years ago

Paid Workers, Farmers

Kamani pledges to address needs of lowly


Kamani pledges to address needs of lowly-paid workers, farmers
Daily News
THE Minister for Fisheries and Livestock Development, Dr Titus Kamani, returned his nomination form as presidential hopeful through Chama Cha Mapinduzi (CCM), pledging to deal with the low-income earners and farmers to improve their welfare. Speaking ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani