Kamani pledges to address needs of lowly
Kamani pledges to address needs of lowly-paid workers, farmers
Daily News
THE Minister for Fisheries and Livestock Development, Dr Titus Kamani, returned his nomination form as presidential hopeful through Chama Cha Mapinduzi (CCM), pledging to deal with the low-income earners and farmers to improve their welfare. Speaking ...
paid workers, farmers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Duke Today21 May
Lowly 'New Girl' Chimps Form Stronger Female Bonds
Duke Today
Duke Today
Chema and Rumumba, two low-ranking immigrant female chimpanzees, take turns grooming each other in Gombe National Park, Tanzania. A Duke study finds that low-ranking female chimps prefer to socialize with other females of similar status. Photo credit: ...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Dk. Kamani adaiwa kumdanganya JK
10 years ago
Habarileo25 Feb
Kamani ahamasisha kujiandikisha
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Dk Titus Kamani amewaambia wananchi wa Mji wa Kahama kuwa ili Mbunge wa Jimbo Kahama James Lembeli arejee bungeni ni vyema wakajitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Wakulima, wafugaji wampongeza Kamani
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amepokewa na ujumbe mzito kutoka kwa Chama cha Wavuvi na Wafugaji waliofika mkoani hapa. Dk. Kamani juzi alifanyiwa sherehe za...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Dk. Kamani aonya watakaohujumu miradi
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amewaonya watendaji watakaotafuna fedha za miradi mbalimbali inayotekelezwa Jimbo la Busega mkoani Simiyu. Dk. Kamani, alitoa onyo hilo juzi wakati...
11 years ago
Habarileo05 Feb
Kamani akunjua makucha yake
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, ameagiza Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (Narco), kunyang’anya ranchi ndogo za ufugaji zinazomilikiwa na wawekezaji wazawa walioshindwa kuziendeleza.
11 years ago
Uhuru Newspaper19 Jul
Kikwete, Dk. Kamani wawakuna wapinzani
NA PETER KATULANDA, BUSEGA
MADIWANI wa Chama cha UDP wilayani Busega, wamempongeza Rais Jakaya Kikwete na Mbunge wa Busega, Dk. Titus Kamani, kwa kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli na kwamba wananchi hawana budi kuwaunga mkono.
Madiwani hao, Safari Jejeje wa Kata ya Ngasamo na James Yagaluka (Badugu), walitoa pongezi hizo kwa nyakati tofauti wakati wa ziara ya Dk. Kamani, ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ambapo walisema wana imani kubwa na serikali ya Rais Kikwete kwa...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Kamani awananga wanaobeza kilimo
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Dk. Kamani: Tengeni maeneo ya mifugo
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amezitaka halmashauri nchini kuangalia utaratibu mzuri wa kutenga maeneo ya mifugo na kuwa wasimamizi ili kuepusha migogoro inayotokea mara kwa...