Dk. Masha: Nilikosa ajira sababu ya Nyerere
Dk. Fortunatus Masha
NA ABUBAKARI AKIDA, MWANZA
BAADA ya kimya kirefu, hatimaye aliyewahi kuwa Katibu Mwenezi wa kwanza wa TANU na baadaye kufukuzwa katika chama hicho mwaka 1968, Dk. Fortunatus Masha, ameibuka na kusema matatizo yaliyokuwapo kati yake na Mwalimu Julius Nyerere yalichangia asipate ajira ndani na nje ya Afrika Mashariki.
Dk. Masha ambaye kwa sasa ni mwanachama wa Chama cha UDP, alisema hayo katika mahojiano maalumu na MTANZANIA yaliyofanyika jijini hapa ambapo pamoja na mambo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Zifahamu sababu za kusitisha ajira
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Sababu za wahitimu wa Tanzania kufanya vibaya katika ajira
10 years ago
GPLSTEVE NYERERE AANIKA SABABU ZA KUJITOLEA MSIBA WA AISHA
10 years ago
MichuziWAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
9 years ago
TheCitizen26 Aug
Masha freed on bail
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Masha apata dhamana
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Masha atoka Segerea
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
BAADA ya kuwa chini ya Jeshi la Magereza kwa saa 24, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Laurence Masha, ametimiza masharti ya dhamana na kuachiwa.
Masha aliingia katika Gereza la Segerea juzi alasiri na kuachiwa huru jana alasiri baada ya mahakama kujiridhisha.
Mshtakiwa huyo alipanda kizimbani mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi Waliarwande Lema kwa ajili ya dhamana.
Wakili wa Serikali, Wankyo Simon, aliifahamisha mahakama kwamba uhakiki wa masharti ya dhamana...
9 years ago
GPLMASHA AACHIWA KWA DHAMANA
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Masha mshindi shindano la Dk. Mengi
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Lawrence Masha, amesema serikali inayokumbatia wawekezaji wa nje na kuacha kutoa fursa kwa wafanyabiashara wa ndani inakaribisha matatizo. Masha alitoa kauli hiyo jana...