Dk Migiro aapishwa kuwa Mbunge
MBUNGE aliyeteuliwa na Rais, Dk Asha Rose Migiro ameapishwa rasmi jana bungeni na kusema anafurahi kutumikia umma huku akiahidi utumishi wenye uadilifu, uaminifu na wa kujituma.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Masaju aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)
10 years ago
Habarileo28 May
Balozi Mulamula aapishwa kuwa Katibu Mkuu
RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha Katibu Mkuu mpya, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (pichani).
Aidha, katika sherehe fupi ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alimwapisha Balozi Hassan Simba Yahya kuwa Naibu Katibu Mkuu katika wizara hiyo.
Katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Rais Kikwete alimwapisha pia...
10 years ago
StarTV03 Jun
Muhamadu Buhari aapishwa kuwa rais wa Nigeria
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/28/150528143127_jonathan_buhari_handover_512x288_nta_nocredit.jpg)
Buhari ameapishwa kuwa rais wa Nigeria
Mshindi wa uchaguzi mkuu nchini Nigeria Muhamadu Buhari ameapishwa kama rais mpya wa nchi hiyo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/29/150529101952__buhari_ameapishwa_kuwa_rais_wa_nigeria_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Waziri wa maswala ya kigeni wa Marekani akiwa Abuja
Bwana Buhari ambaye ni kiongozi wa zamani wa kijeshi amechukua uongozi kutoka kwa rais wa zamani Goodluck Jonathan ambaye amemtaka kuiunganisha nchi hiyo wakati inapokabiliana na tisho kutoka kundi la Boko Haram.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/29/150529101852__buhari_ameapishwa_kuwa_rais_wa_nigeria_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa Ethiopia akiwasili Abuja
Buhari anasema kuwa lengo lake ni kupambana ufisadi ambao...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Rais Kikwete aapishwa kuwa mwenyekiti EAC
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSoL66ERYTkXzQ6A-rPrUgD5ghN9-0jyC7wg9sNg*z1SMmUb0i9ZWdT7tCsmGLLl-g-gySUXrUOXaBdmoweh0C4/BREAKINGNEWS3.gif)
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10 years ago
StarTV30 Sep
Ashraf Ghani aapishwa kuwa rais mpya Afghanistan
Ashraf Ghani ameapishwa kuwa rais mpya wa Afghanistan, akichukua nafasi ya Hamid Karzai katika sherehe zilizofanyika ikulu ya rais mjini Kabul.
Kuapishwa kwa Bwana Ghani kunakuja baada ya miezi sita, huku kukiwa na mvutano mkubwa kuhusu kulalamikia udanganyifu katika kupiga na kuhesabu kura.
Kwa mujibu wa mkataba uliosimamiwa na Marekani Bwana Ghani atashirikiana madaraka na mshindi wa pili katika uchaguzi wa urais Bwana Abdullah Abdullah ambaye atakuwa afisa mtendaji mkuu.
Kundi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s72-c/unnamed.jpg)
Paul Makonda aapishwa leo kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8XQJGQjxI5A/UvHSYt5zHhI/AAAAAAAFK54/1Crwg1fZqRo/s72-c/unnamed.jpg)
MHE. MAHMOUD THABIT KOMBO AAPISHWA kuwa Muwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki
![](http://4.bp.blogspot.com/-8XQJGQjxI5A/UvHSYt5zHhI/AAAAAAAFK54/1Crwg1fZqRo/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hIJPbnnmimw/UvHSivjWTqI/AAAAAAAFK6A/Ydo9SH7hAnM/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ps7LfJnNGxw/UvHSkdNbhXI/AAAAAAAFK6I/7Q_gnkqxLoo/s1600/unnamed+(2).jpg)