Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Salim atembelewa na Ugeni wa Jeshi la Uchina

Waziri Mkuu Mstaafu na pia Rais wa Chama cha Mahusiano Mema kati ya Uchina na Tanzania akiwa na Kamisaa wa Siasa katika Chuo Kikuu cha Ulinzi cha Uchina (Political Commissar of the National Defense University of China) Jenerali Liu Yazhou pamoja na ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake leo Jumatatu. Jenerali Liu Yazhou amekuja nchini kwa ziara ya siku mbili.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Dkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri

Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim akiwa katika mazungumzo na mgeni wake ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri,Balozi Nabil Fahmy wakati alipomtembelea nyumbani kwake leo Jumamosi 22 Februari 2014. Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim na mgeni wake Wakiangalia picha za ukumbusho. Picha ya pili juu kushoto Dr Salim akiwakilisha credentials zake kwa Rais wa Zamani wa Misri, Gamal Abdul Nasser akiwa kama balozi wa Kwanza wa Tanzania nchini humo.

 

11 years ago

Michuzi

balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akimkaribisha ofisini kwake balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23 Julai 2014


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na  balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...

 

9 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Poll campaigns should address rights

For many years after the 1964 armed uprising that led to the overthrow of sultan Jemshid bin Abdulla El Busaidy of Omani dynasty and his coalition government of the Zanzibar Nationalist Party (ZNP) and the Zanzibar and Pemba Peoples Party (ZPPP) Zanzibar was known as notorious for human rights violations.

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Journalism facing challenges in election

For journalists facing challenges of objectivity, impartiality and balance reporting are a daily encounter, but there is no test of professionalism greater than that posed in the heat and pressure of a bitterly-fought political election.

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM:Let our leaders be honest with us

Nearly a decade back I read an article in the Gulf newspaper in which one columnist said that there are some occupations whose members are very good in lying, even in mosques and churches.

 

11 years ago

Mwananchi

Ugeni ulinifanya nishindwe kuchangia

Bunge la Katiba limemaliza muda wa zaidi ya mwezi mmoja huku wajumbe wake wakiwa bado hawajaanza mjadala rasmi wa Rasimu ya Katiba.

 

10 years ago

Dewji Blog

Skimu ya Mpunga Kiroka yapata ugeni mkubwa

DSC_0576

Msimamizi wa mradi wa FAO kijiji cha Kiroka mkoani Morogoro, Ajuaye Sigalla, akitoa muhtasari wa maendeleo ya mradi FAO unaotekelezwa na wanakikundi wa Umoja wa Wakulima Kiroka (UWAKI) mbele ya Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Filiberto Sebregondi walipofanya ziara ya kugagua miradi yao ya maendeleo mkoani Morogoro.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na...

 

10 years ago

Michuzi

PANONE FC ILIVYOPOKEA UGENI WA REAL MADRID KILIMANJARO

Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Dk Fenera Mkangara akiongoza ugeni toka klabu ya Real Madrid ulipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA.)
Baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa KIA .

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

MMG yapata ugeni toka Push Mobile leo

Ujumbe wa Kampuni ya Push Mobile kitengo cha SimuTV  ukiwa katika picha ya pamoja na Timu ya Michuzi Media Group (MMG) mara baada ya kufanya mazungumzo juu ya libeneke hilo la SimuTV.Toka kulia ni Mtendaji Mkuu wa MMG, Ankal Issa Michuzi, Mkuu wa Kitengo cha Habari MMG, Cathbert Kajuna, Meneja wa SimuTV, Patricia Michael, Meneja Uendeshaji wa Push Mobile, Jason Hill, Meneja Masoko wa SimuTV, Athanas Muhanuzi, Mkurugenzi wa Uwezeshaji wa MMG, Ahmad Michuzi pamoja na Mkuu wa Uendeshaji wa MMG,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani