DK SHEIN ALIPOHUDHURIA UFUNGAJI WA BARAZA LA NANE LA WAWAKILISHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2JkD3l0tnZw/VY5jGwUfAGI/AAAAAAABzRw/yRM-j9HEX1g/s72-c/DSC_1721.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikagua gwaride maalum la Kikosi cha Polisi akiongozwa na SP Ali Abdalla Kitole wakati wa Ufungaji wa Baraza la Wawakilishi la nane huko Chukwani jana Nje ya Mji wa Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitia saini kitabu cha wageni alipofika katika Ofisi za Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi jana alipohudhuria kulifunga Baraza la nane la Wawakilishi la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Jun
Dk Shein kuvunja Baraza la Wawakilishi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein leo anahutubia Baraza la Wawakilishi, akitarajiwa kutumia fursa hiyo kuaga na kusitisha uhai wa Baraza hilo uliodumu kwa miaka mitano na hivyo kumaliza kazi yake kwa mujibu wa Katiba.
10 years ago
VijimamboRAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AFUNGA KIKAO CHA BARAZA LA WAWAKILISHI
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Dk Shein, Maalim Seif wapishana kauli waliosusia Baraza la Wawakilishi
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Maalim Seif azuiwa kuhudhuria Shein akivunja Baraza la Wawakilishi leo
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nthii1H0v6A/U9u5TAkwfpI/AAAAAAAF8SY/Q9S3aPw-_YQ/s72-c/unnamed+(36).jpg)
Dkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-nthii1H0v6A/U9u5TAkwfpI/AAAAAAAF8SY/Q9S3aPw-_YQ/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6nVvwS9PIq4/U9u5TeoOTaI/AAAAAAAF8Sg/4Crj6kBSF74/s1600/unnamed+(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l03LjZXQ9eA/U9u5Tggyw8I/AAAAAAAF8Sc/t9lhVBwxdp0/s1600/unnamed+(38).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
KATIBU MTENDAJI BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU MKUTANO WA NANE WA BARAZA HILO UTAKAOFANYIKA DESEMBA 16 ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1rxkBN0R96M/VI1pE7Keu6I/AAAAAAAG3Hs/DT4Rij6th0E/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-i3trQkc8jPs/VI1pFPBTVxI/AAAAAAAG3H0/2KAhyO1CVnQ/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
11 years ago
GPLBARAZA LA WAWAKILISHI, ZANZIBAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CX86CbFQvM0/VEkmerctoCI/AAAAAAAGtAo/FYaAugQElAU/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-CX86CbFQvM0/VEkmerctoCI/AAAAAAAGtAo/FYaAugQElAU/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cXezMKNqPxE/VEkmfadgywI/AAAAAAAGtAw/JOU57coEH_4/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Habarileo23 Oct
Baraza la Wawakilishi laanza kikao
BARAZA la Wawakilishi limeanza kikao chake jana ambako pamoja na mambo mengine litajadili miswada miwili ya sheria, huku Muswada wa Maadili ya Viongozi ukirudishwa tena kwa kamati kwa ajili ya majadiliano zaidi na kupokea maoni mbalimbali ya wadau kwa maboresho mapya.