Maalim Seif azuiwa kuhudhuria Shein akivunja Baraza la Wawakilishi leo
Zanzibar. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wamemzuia Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kuhudhuria shughuli ya kuvunja Baraza hilo itakayoongozwa na Rais Dk Ali Mohamed Shein leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Dk Shein, Maalim Seif wapishana kauli waliosusia Baraza la Wawakilishi
10 years ago
Vijimambo
DKT. SHEIN, MAALIM SEIF WASHIRIKI BARAZA LA EID EL-HAJJ MJINI ZANZIBAR LEO


10 years ago
Habarileo26 Jun
Dk Shein kuvunja Baraza la Wawakilishi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein leo anahutubia Baraza la Wawakilishi, akitarajiwa kutumia fursa hiyo kuaga na kusitisha uhai wa Baraza hilo uliodumu kwa miaka mitano na hivyo kumaliza kazi yake kwa mujibu wa Katiba.
10 years ago
Vijimambo
DK SHEIN ALIPOHUDHURIA UFUNGAJI WA BARAZA LA NANE LA WAWAKILISHI


11 years ago
Dewji Blog28 May
Tekelezeni mawazo na maagizo ya baraza la wawakilishi kikamilifu- Balozi seif
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi wa mwanzo kulia Mh. Saleh Nassor Juma akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Mohamed Aboud Mohamed wakijipatia mlo kwenye dhifa maalum iliyoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini.
Na Othman Khami Ame, Visiwani
WATENDAJI wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar wana...
10 years ago
VijimamboRAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AFUNGA KIKAO CHA BARAZA LA WAWAKILISHI
10 years ago
Vijimambo
BALOZI SEIF ARUDISHA FOMU YA KUWANIA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI JIMBO LA MAHONDA



10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ni Shein na Maalim Seif
10 years ago
Michuzi
Balozi Seif Iddi afungua Semina ya usafiri wa Barabarani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar



