Dk Slaa: Sitosahau siku nilipopigwa mabomu na Polisi
>“Kushushwa juu ya fuso na mabomu kwenye kebini umebaki peke yako watu wote wamekimbia. Ndiyo wamekimbia...nimebaki na mlinzi wangu tu pale juu ya gari. Polisi walipoona vile walinifuata na kunirushia mabomu ya machozi na kunifanya nishindwe kupumua kwa dakika tano mfululizo.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Polisi wakamata mabomu ya kivita Z’bar
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s7s9Z08DG1xh4yl1OR-FxRRGoJVkSONp*oYpxr1vQN4jlbCBbZqy5oCqtLpdgEbUKGVRceVi2eaJS5Tg0z--IwNxOW8v2j6z/polisi.jpg?width=650)
POLISI: TUMEMNASA KIJANA NA MABOMU KUMI
11 years ago
Habarileo17 Jul
Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia
JESHI la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia zilizoibuka baina ya wakazi wa eneo la Bahari-Motors, Kijitonyama, wilayani Kinondoni jijini hapa. Ghasia hizo zilitokana na kuchukuliwa kwa magari ambayo yalikuwa yameegeshwa katika gereji iliyopo eneo hilo.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi
Gari ya FFU Kaskazini Unguja imepinduka na kujeruhi askari 6 hali yao ni mbaya sana baada ya kupakia mabomu ya machozi na silaha ikipeleka kazini kwa mwendo kasi. Huko Kasikazini Unguja walikuwa wanawalipulia raia wasio na […]
The post Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
StarTV28 Jan
Polisi yatawanya wafuasi wa CUF kwa mabomu.
Na Glory Matola,
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi limelazimika kulipua mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF waliojiandaa kuandamana hadi Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya baadhi ya wafuasi wake huko Zanzibar.
Pamoja na mabomu hayo, Jeshi hilo pia lilimkamata Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahimu Lipumba, baadhi ya wanachama na mwandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo na kupelekwa kituo...
11 years ago
Mwananchi08 Aug
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Polisi waja na mwarobaini wa mabomu nyumba za ibada
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Polisi watumia mabomu kutawanya wakazi Geita
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia Kiteto
ASKARI wa Jeshi la Polisi wilayani Kiteto, Manyara wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutuliza ghasia zilizosababishwa na jamii ya wafugaji wa Kimasai kuvamia mkutano ulioandaliwa na...