Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Slaa: Tutawarejeshea wananchi majimbo tata

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema endapo vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vitashindwa kuafikiana katika kuachiana baadhi ya majimbo kabla ya Uchaguzi Mkuu, watawaeleza wananchi kwa kuwa ndiyo kiini cha kuanzishwa kwa umoja huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Maaskofu, wananchi ‘wamchanachana’ Slaa

mtz1Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam

BAADHI ya viongozi wa dini na wananchi wamesema shutuma za aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa kuwa baadhi yao walihongwa na Mgombea Urais wa Ukawa kupitia Chadema, Edward Lowassa, ni upuuzi mtupu.

Wamemtaka atoe ushahidi wa madai hayo kwa kutaja majina ya viongozi na kiasi walichohongwa, wakisisitiza kuwa hizo ni siasa za majitaka na kwamba anaifanyia kazi CCM ili apate njia ya kurudi katika chama...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Slaa amtaka JK kuingilia kati unyanyasaji wananchi

Dk Willibrod SlaaKATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali ikomeshe unyanyasaji na ukatili dhidi ya wananchi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa

123

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.

Tathmini ya Upigaji Kura

Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...

 

9 years ago

Habarileo

CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.

 

11 years ago

Michuzi

meya wa ilala mstahiki jerry slaa atoa wito wananchi kuzingatia mabadiliko ya baadhi ya njia ya mabasi dar es salaam

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Bw. Jerry Silaa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati akitoa wito kwa wananchi jijini kuzingatia alama mpya za mabadiliko ya baadhi ya njia ya za mabasi ya daladala na magari madogo yanayotazamiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu.  Pamoja na matayarisho ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT), mabadiliko hayo yanatarajiwa kupunguza msongamano katika jiji hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. SLAA, AENDELEA NA ZIARA YA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, APIGA DEBE WANANCHI KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGUZI MKUU

Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dr. Wilibrod Slaa, akiwasalimia wanachama, wapenzi, wafuasi na mashabiki wa chama hicho, wakati akiwasili katika ofisi za wilaya za chama mjini Mpanda, mkoani Katavi akiwa katika mwendelezo wa ziara yake maeneo mbalimbali ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi ambako mbali ya kukagua zoezi la uandikishaji wa wapiga kura amekuwa akihamasisha wananchi wenye sifa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu huku pia akikagua...

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kwaheri Tata Mandela

Karibu watu 4,500 walifika kwenye mazishi hayo ikiwemo familia, jamaa, marafiki na viongozi wa dunia kijijini Qunu ambako Mandela alikulia.

 

10 years ago

GPL

KLABU YA WANAUME TATA

Baadhi ya wanaume hao tata. KLABU inayodaiwa kuwahifadhi wanaume tata imegundulika hivi karibuni maeneo ya Kinondoni jijini Dar karibu na Viwanja vya Leaders. Paparazi wetu aliibaini klabu hiyo baada ya kuwanasa wakifanya pati ya kuzaliwa kwa mmoja wa wanaume hao aliyejitambulisha kwa jina moja la God ‘God Chocolate’. Mwanaume tata akiwa kwenye pozi. Mwanahabari wetu ambaye alichukua matukio tofauti ukumbini hapo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani