Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Slaa: Ukawa ni safari ya uhakika

>Katibu Mkuu wa Chadema, Dk  Willibrod Slaa amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwaka huu, unaingia kwenye uchaguzi ukiwa na safari ya uhakika na siyo ya matumaini kama ilivyotolewa na mmoja wa watangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

JK: Tumeanza safari ya uhakika michezoni

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete jana alizindua rasmi kituo cha kuendeleza vipaji vya watoto Kidongo Chekundu, Dar es Salaam na kusema safari ya uhakika ya kuendeleza vipaji kwa watoto imeanza.

 

10 years ago

Raia Mwema

Dk. Slaa kuiumiza Ukawa

UAMUZI wa Dk.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Vijimambo

Dr Slaa athibitisha kuteuliwa na UKAWA


Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.
Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa wa @twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA. CREDIT:MILLARDAYO

 

10 years ago

Mwananchi

Kafulila: Dk Slaa awe mgombea Ukawa

Wakati vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vikitafakari jina la mgombea urais, Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila tayari anaye mtu anayefaa; anamtaka Dk Willbrod Slaa.

 

10 years ago

GPL

CCM: KUJITOA SLAA, LIPUMBA UKAWA WATANYOOKA TU!

Mwandishi wetu WATANYOOKA tu! Hiyo ndiyo kauli waliyoitoa wafuasi wa CCM jijini Dar baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (Cuf), Ibrahim Lipumba kujiweka pembeni katika shughuli za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Slaa amedaiwa kujichimbia nyumbani kwake Mbweni jijini Dar na kukataa kuzungumzia hatma yake kisiasa na kuacha shughuli za Ukawa...

 

10 years ago

TheCitizen

UKAWA NOMINATION: Slaa: From priesthood to vying for the presidency

>From priesthood to politics. That is the best way of describing Dr Willibrod Peter Slaa, the secretary-general of the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuungana na kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya Ukawa ilivyoanzia Dodoma

Siku moja kabla ya kuanza kikao cha Bunge Maalumu la Katiba, usiku wa kuamkia Aprili 16, mwaka huu baadhi ya wajumbe walikuwa wameafikiana kugoma.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wamjibu Slaa, wasema tuhuma alizotoa zinalipasua taifa

Siku moja baada ya Dk Willibrod Slaa kuibuka na kuelezea kilichotokea wakati wa kumkaribisha Edward Lwoassa Ukawa na hatimaye kutangaza kuachana na siasa, Mwenyekiti mwenza wa Ukawa, James Mbatia amejibu tuhuma zilizotolewa na Dk Slaa huku akitahadharisha kuwa zinalenga kulipasua taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani