Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari ya Ukawa ilivyoanzia Dodoma

Siku moja kabla ya kuanza kikao cha Bunge Maalumu la Katiba, usiku wa kuamkia Aprili 16, mwaka huu baadhi ya wajumbe walikuwa wameafikiana kugoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Ukawa ni safari ya uhakika

>Katibu Mkuu wa Chadema, Dk  Willibrod Slaa amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwaka huu, unaingia kwenye uchaguzi ukiwa na safari ya uhakika na siyo ya matumaini kama ilivyotolewa na mmoja wa watangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015

Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Urais 2015: Ukawa waanza safari

Wakati CCM ikisubiri Februari kufanya tathmini kuona kama baadhi ya wagombea wake wa urais wametekeleza masharti ya adhabu zao, washindani wao wa Ukawa, Jumanne ijayo watakutana kujadili mambo mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wadai safari za JK zimekula Sh4 trilioni

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai Rais Jakaya Kikwete amefanya safari 409 nje ya nchi katika kipindi cha utawala wake, akitumia zaidi ya Sh4 trilioni, fedha ambazo zingeweza kutumika kwa miradi ya maendeleo

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawajibu Ukawa kuhusu safari za rais

Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imekanusha taarifa zilizotolewa na Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa kuwa safari za Rais Jakaya Kikwete nje ya nchi zimegharimu Shilingi trilioni 4 katika kipindi chake cha uongozi wa miaka 10.

 

10 years ago

Michuzi

Temeke,Dodoma zapata mabingwa wa Safari Pool

FAINALI za mashindano ya Safari Pool Taifa yajulikanayo kama “Safari National Pool Competition 2014”, mkoa wa kimichezo wa Temeke jijini Dar es Saalaam na Dodoma zimefanikiwa kupata mabingwa wa mikoa mwishoni mwa wiki.
Mkoa wa kimichezo wa Temeke mabingwa ni klabu ya Mpo Afrika walifanikiwa kutetea ubingwa wao wa mwaka jana wakati mkoani Dodoma Klabu ya Delux ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa huo.
Klabu ya Mpo Afrika na Delux kwa kutwaa ubingwa huo zilizawadiwa pesa taslimu...

 

10 years ago

GPL

TEMEKE, DODOMA ZAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL

Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (wa pili kulia), akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa Mpo Afrika, Charles Venance. Kulia ni Katibu wa Chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga, na kocha wa timu ya Taifa, Denis Rungu. Baadhi ya wachezaji wa Mpo Afrika na mashabiki  wakishangilia na kombe waliloshinda. KATIKA mchakato wa fainali… ...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI YA KUJITAMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA


 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Rajab Luhwavi akimkaribisha  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  awasalimie wananchi,awashukuru na kujitambulisha kwa wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  akiwasalimia wananchi waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe...

 

10 years ago

Vijimambo

SAFARI YA KUJIMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Rajab Luhwavi akimkaribisha  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  awasalimie wananchi,awashukuru na kujitambulisha kwa wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  akiwasalimia wananchi waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani