Serikali yawajibu Ukawa kuhusu safari za rais
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imekanusha taarifa zilizotolewa na Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa kuwa safari za Rais Jakaya Kikwete nje ya nchi zimegharimu Shilingi trilioni 4 katika kipindi chake cha uongozi wa miaka 10.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Maagizo ya Rais Magufuli kuhusu safari za nje za watendaji wa Serikali yaanza kutekelezwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Wizara imezielekeza Balozi zote zilizopo maeneo mbalimbali duniani kujipanga ili kushiriki kikamilifu katika kuiwakilisha Serikali kwenye mikutano yote ya kimataifa na kikanda...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Wafanyabiashara K’koo walia, TRA yawajibu
Baadhi ya wafanyabiashara wa mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamelalamikia hali ngumu ya biashara zao tangu Rais John Magufuli aliopoingia madarakani na kasi ya kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3SsSDupeM_U/VjYvKOnhbuI/AAAAAAAID3c/sJwVT4igOIo/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Taarifa rasmi ya Serikali ya Zanzibar kuhusu vifungu vya sheria juu ya uhalali wa Rais kuendelea kuwepo madarakani
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SsSDupeM_U/VjYvKOnhbuI/AAAAAAAID3c/sJwVT4igOIo/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Safari ya Ukawa ilivyoanzia Dodoma
Siku moja kabla ya kuanza kikao cha Bunge Maalumu la Katiba, usiku wa kuamkia Aprili 16, mwaka huu baadhi ya wajumbe walikuwa wameafikiana kugoma.
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Dk Slaa: Ukawa ni safari ya uhakika
>Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwaka huu, unaingia kwenye uchaguzi ukiwa na safari ya uhakika na siyo ya matumaini kama ilivyotolewa na mmoja wa watangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015
Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Urais 2015: Ukawa waanza safari
Wakati CCM ikisubiri Februari kufanya tathmini kuona kama baadhi ya wagombea wake wa urais wametekeleza masharti ya adhabu zao, washindani wao wa Ukawa, Jumanne ijayo watakutana kujadili mambo mbalimbali.
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Ukawa wadai safari za JK zimekula Sh4 trilioni
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai Rais Jakaya Kikwete amefanya safari 409 nje ya nchi katika kipindi cha utawala wake, akitumia zaidi ya Sh4 trilioni, fedha ambazo zingeweza kutumika kwa miradi ya maendeleo
10 years ago
Vijimambo29 Apr
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI WANACHAMA WA SADC KUHUSU UENDELEZAJI VIWANDA, HARARE ZIMBABWE.
![AD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD1.jpg)
![AD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD2.jpg)
![AD3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania