DOGO MFAUME ADAIWA KUMTELEKEZA MAMA’KE

Na Mayasa Mariwata STAA wa muziki wa Mnanda Bongo aliyewahi kutamba na Wimbo wa Kazi ya Dukani, Dogo Mfaume (pichani chini)anadaiwa kumtelekeza mama yake mzazi, Flora Nathaniel (60), mkazi wa Chanika, Ilala jijini Dar ambaye amekatwa miguu kufuatia kukumbwa na ugonjwa wa Kisukari mwaka 2011. Staa wa muziki wa Mnanda Bongo aliyewahi kutamba na Wimbo wa Kazi ya Dukani, Dogo Mfaume. Kwa mujibu wa majirani, mwanamke huyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Sep
Mama wa Dogo Aslay azikwa Dar
NA MELCKZEDECK SIMON
MSANII kiongozi wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihack ‘Dogo Aslay’ jana alijumuika na wadau mbalimbali wa sanaa kumzika mama yake mzazi, Moza Mohammed aliyefariki juzi hospitali ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Mama wa msanii huyo alifariki jana asubuhi katika Hospitali ya Temeke, alipokuwa amelazwa.
Wadau mbali mbali wa muziki walimpa pole msanii huyo kutokana na kuondokewa na mama yake kipenzi ambaye alimtimizia kumjengea nyumba kutokana na kipato chake cha...
10 years ago
GPL
TANZIA: MAMA MZAZI WA DOGO ASLAY AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL
MAMA ADAIWA KUMVUNJA...
11 years ago
GPL
DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE
11 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’
11 years ago
GPL
MAMA ADAIWA KUMSULUBU MTOTO, APEWA KIBANO
10 years ago
Mwananchi20 Aug
11 years ago
GPL
MAMA ADAIWA KUMCHANA MWANAYE VIWEMBE SEHEMU ZA SIRI!
10 years ago
Mwananchi21 May
Mama mzazi adaiwa kumuuza mwanaye kwa Sh70,000