Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA ADAIWA KUMVUNJA...

Na Gladness Mallya
MWANAMKE mmoja aliyejitambuliwa kwa jina la Fadhila mwenye umri wa miaka 30, mkazi wa Keko Machungwa jijini Dar es Salaam, anadaiwa kumvunja mguu mtoto wake mwenye umri wa siku moja, akiwa katika jaribio la kumuua. Mtoto aliyevunjwa mguu wa kulia na mama yake. Akisimulia tukio hilo, kaka wa mwanamke huyo aliyejitambulisha kwa jina la Mbwana, alisema tukio hilo lilitokea asubuhi ya Julai 6, mwaka huu, wakati...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

11 years ago

GPL

DOGO MFAUME ADAIWA KUMTELEKEZA MAMA’KE

Na Mayasa Mariwata
STAA wa muziki wa Mnanda Bongo aliyewahi kutamba na Wimbo wa Kazi ya Dukani, Dogo Mfaume (pichani chini)anadaiwa kumtelekeza mama yake mzazi, Flora Nathaniel (60), mkazi wa Chanika, Ilala jijini Dar ambaye amekatwa miguu kufuatia kukumbwa na ugonjwa wa Kisukari mwaka 2011. Staa wa muziki wa Mnanda Bongo aliyewahi kutamba na Wimbo wa Kazi ya Dukani, Dogo Mfaume. Kwa mujibu wa majirani, mwanamke huyo...

 

11 years ago

GPL

MAMA ADAIWA KUMSULUBU MTOTO, APEWA KIBANO

Na  Gladness Mallya na Shani Ramadhani
HII ni too much! Jalada namba KW/RB/7565/2014-SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI lililopo kwenye Kituo cha Polisi cha Kawe, Dar, linamhusu mama aliyetajwa kwa jina moja la Teddy, mkazi wa Tegeta kwa madai ya kumtumikisha na kumtesa mtoto Magdalena Elisha (10) na kumsababishia majeraha na makovu ya vidonda sehemu mbalimbali mwilini. Mama anayedaiwa kumsulubu mtoto huyo akilia baada ya kutiwa...

 

11 years ago

GPL

MAMA ADAIWA KUMCHANA MWANAYE VIWEMBE SEHEMU ZA SIRI!

Na Gladness Mallya na Shani Ramadhani
Inauma sana! RB namba KMR/RB/7911/2014-KUJERUHI iliyopo kwenye Kituo cha Polisi cha Mbezi-Kwayusuph jijini Dar, inamshikilia mama aliyetajwa kwa jina moja la Schola , mkazi wa Kibanda cha Mkaa, Mbezi kwa shitaka la kumchana kwa viwembe mwanaye Mwajuma (6) aliyezibwa usoni kwa sababu ya kukojoa kitandani. Mtoto Mwajuma aliyechanjwa viwembe sehemu za siri na mama yake. Akizungumza kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mama mzazi adaiwa kumuuza mwanaye kwa Sh70,000

Monduli. Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nanja, Kata ya Lepruko, wilayani Monduli, anadaiwa kumuuza mtoto wake wa kumzaa kwa mtu mwingine kwa Sh70,000 kwa madai kuwa ana maisha magumu.

 

11 years ago

Habarileo

Mke aua mume kwa kumvunja shingo

MWANAMKE Etina Silumba (44) mkazi wa kijiji cha Mpemba wilayani Momba anashikiliwa na polisi mkoani Mbeya, kwa tuhuma za kumuua mumewe.

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani