DPP ateuliwa kuwa jaji
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kuwaapisha majaji wapya wa Mahakama Kuu, akiwamo Dk. Eliezer Feleshi ambaye awali alikuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Uteuzi huo umewajumuisha watumishi wa mahakama na mawakili wa Serikali wa kujitegemea pamoja na watumishi wa taasisi mbalimbali za serikali.
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) juzi, inaeleza kuwa uteuzi huo umefanywa baada...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Jaji Feleshi: Nafasi ya DPP ilinipa wakati mgumu
11 years ago
Michuzi20 Jul
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Mugabe ateuliwa kuwa mwenyekiti wa AU
9 years ago
MichuziKITENGE ATEULIWA KUWA BALOZI WA STARTIMES
9 years ago
Bongo517 Dec
Eto’o ateuliwa kuwa kocha Uturuki
![eto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/eto-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.
Eto’o atakuwa anasaidiana na mkufunzi wa timu ya vijana ambaye pia ni mkurugenzi wa ufundi Mehmet Ugurlu.
Atapewa kazi hiyo kwa mkataba wa muda mrefu iwapo klabu hiyo itafanya vyema kwenye mechi tatu kabla ya mapumziko mafupi ya majira ya baridi.
Eto’o alijiunga na timu ya Antalyaspor kama mchezaji huru Juni 25 kwa mkataba wa miaka mitatu na alicheza mechi...
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Vieira ateuliwa kuwa kocha wa New York City FC
Kocha mpya wa New York City, Patrick Vieira.
Kikosi cha New York City.
Na Rabbi Hume
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na kocha wa timu kukuzia vipaji ya vijana ya Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya New York City inayoshiriki ligi kuu ya nchini Marekani MSL.
Uteuzi wa Vieira umekuja ikiwa ni siku sita (6) tangu kutimuliwa kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo Jason Kreis.
Vieira ambae anaiongoza timu ya vijana kuangalia maendeleo ya vijana alijiunga na timu hiyo 2013...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s72-c/1-6.jpg)
MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s1600/1-6.jpg)
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GSdsDVBgp4Y/VMd8yJskpoI/AAAAAAACyqo/whsaXB6HGMg/s72-c/New%2BPicture.png)
GODFREY L. MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GSdsDVBgp4Y/VMd8yJskpoI/AAAAAAACyqo/whsaXB6HGMg/s1600/New%2BPicture.png)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linapenda kuwatangazia Wasanii na wadau wote wa Sanaa nchini kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kifungu namba 5 (1) cha Sheria namba 23 ya mwaka 1984 iliyolianzisha Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) amemteua ndugu Godfrey Lebejo Mngereza kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
10 years ago
GPLDK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA