Dr. Mwinyi mgeni rasmi maonyesho ya Silaha
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Hussein Mwinyi.
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Hussein Mwinyi anatarajiwa kufungua maonyesho ya kongamano la Majeshi ya Nchikavu Afrika ya Mashariki ambapo zaidi ya wataalamu 300 .
Kongamano hilo ambalo Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ndiye mshirika mkuu linatarajiwa kufanyika julai 15 na 16 mwaka huu katika ukumbi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Jul
Mwinyi mgeni rasmi Idd el Fitr
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi anatarajiwa kuongoza mamia ya waumini wa dini ya Kiislamu katika sala ya Idd el Fitr itakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mzee Mwinyi mgeni rasmi Maulid Dar
RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi leo atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za Maulidi Kimkoa, Dar es Salaam zinazofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s72-c/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU... Mzee Ali Hassan Mwinyi Mgeni Rasmi
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini),...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6DJu-ZY1SsM/VBmNnKlpX_I/AAAAAAAGkF8/YyvwAB5Ha04/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Rais Wa awamu ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi kuwa mgeni rasmi Mkutano wa 22 wa AQRB
Rais mstaafu wa Awamu ya pili wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Ali Hassan Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 22 wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) utakaofanyika Septemba 18 2014.
Msajili wa Bodi ya AQRB Bwana Jehad Abdalah Jehad amesema hayo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bwana Jehad alisema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kuendeleza wataaluma wa fani ya...
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x7MBfqsCBao/VkoisdmLuvI/AAAAAAAIGRQ/thMJ709rplc/s72-c/7abc2eaa-6a26-4eb7-995e-78fdd34900a0.jpg)
ALHAJ ALI HASSA MWINYI MGENI RASMI MAHAFALI YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x7MBfqsCBao/VkoisdmLuvI/AAAAAAAIGRQ/thMJ709rplc/s640/7abc2eaa-6a26-4eb7-995e-78fdd34900a0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9tM_0VU8TWU/Vkoiv7jhkDI/AAAAAAAIGRY/lhK9GiJK1Do/s640/a0ba7a04-d0e7-4da4-987c-f2ebc6d93d2a.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s72-c/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fapi.ning.com%2Ffiles%2FebhDxq3vSqjYFAE7ALRDjqlG6buY47wYiglzHj0palxIn1Kzu*mk5fwYtuNfsA7ODuIYKOuimnMgTmBayAtcodIb1CT7ki6G%2F1.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s1600/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s1600/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...
11 years ago
GPLMAMA SHUJAA WA CHAKULA WAINGIA RASMI KIJIJI CHA MAISHA PLUS, PROFESA ANNA TIBAIJUKA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-__roV-ZxewA/XpgoLIUgx4I/AAAAAAALnJg/8C-8SeBuCBI3rDD-4464LcP5aVaWm-EYwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111266929_corona.png)
MGENI, MGENII MGENI HUYU MGENI, ANAUA WAZEE, VIJANA MPAKA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-__roV-ZxewA/XpgoLIUgx4I/AAAAAAALnJg/8C-8SeBuCBI3rDD-4464LcP5aVaWm-EYwCLcBGAsYHQ/s640/_111266929_corona.png)
Mgeni ulikua ni wimbo ambao ulimuelezea mgeni (Ukimwi) ambaye alikua ameingia kwa kasi nchini huku akiua watu kwa fujo. Wazee, Vijana hadi Watoto walikua wahanga wa mgeni huyu.
Sogea hapa; Mwishoni mwa mwaka jana, Desemba 31, 2019 watu walikesha wakifurahia kuuaga mwaka huo na kuukaribisha mwaka mpya wa 2020.
Watu...