DUDU BAYA AIBA SIMU NA KUDAKWA LIVE BILA CHENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AyrWFzbm2jY/VQ1qq4IrSkI/AAAAAAAABHs/gUFIz8T7Bxc/s72-c/Dudu-Baya.jpg)
Msanii Dudubaya Ameingia katika Skendo nyingine baada ya kushutumiwa kutaka kuiba simu ya mdau mkubwa wa Twanga pepeta ajulikanae kama Mapao ambae alikuwa amekaa naye meza moja pale Mango Garden huku Twanga Peteta wakiburudisha Tarehe 14 March..Inasemekana Papa Mapao baada ya kutosheka na Burudani aliamka na kuondoka lakini baada ya kufika nje alishtuka kuwa ameacha simu mezani na kurudi lakini alikuta simu haipo na mtu aliyemwacha hapo ni Dudubaya ambae bado alikuwa hapa .Hali ilikuwa mbaya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-J76miZuFhFs/VFaRAG0Bn3I/AAAAAAADMEo/9e4CYR6LKzU/s72-c/460d1635680a56656d6cf60da6b69d89.jpg)
MAKONDA AMTWANGA CHUPA WARIOBA LIVE BILA CHENGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-J76miZuFhFs/VFaRAG0Bn3I/AAAAAAADMEo/9e4CYR6LKzU/s1600/460d1635680a56656d6cf60da6b69d89.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lJlLQivegVQ/VFaRAOyHVaI/AAAAAAADMEs/8EvkaBWtMjY/s1600/a3dddd0632c0910e452897e99fb543b3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-unHWENmRZ7c/VFZ20jcCbEI/AAAAAAAAHh8/PcgJv2UG3Pk/s1600/10421163_1509450082674572_8761469456438407104_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L8JTxuuFIj4/VFaKUQfZDHI/AAAAAAAGvGM/Hmf-nIvwcEc/s640/IMG-20141102-WA0013.jpg)
Kwa upande wake Gwiji La masuala ya habari nchini na Mhariri wa Gazeti la...
10 years ago
Vijimambo13 Mar
MKE AVAA KININJA, AMFUATILIA MUMEWE, AMFUMANIA LIVE BILA CHENGA
Kwa mujibu wa mama Baraka,...
10 years ago
Vijimambo13 Mar
HII NDIYO PROJECT YA WEMA NA OMMY DIMPOZ LIVE BILA CHENGA
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/wwwwwwwwwwwwwwww.png?resize=473%2C245)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/weee.jpg?resize=506%2C506)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/wdddddddddd.jpg?resize=506%2C506)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/bbbbb.jpg?resize=499%2C499)
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Dudu Baya kuuaga ukapera Januari
NA MWANDISHI WETU
MKONGWE wa muziki nchini, Dudu Baya, anatarajia kuachana na ukapera Januari mwakani ambapo atafunga ndoa.
Msanii huyo amedai kwamba katika maisha yake amefanikiwa kupitia mambo mengi ya ujana lakini kilichobaki kwa sasa ni kuishi maisha ya ndoa.
“Ninatarajia kufunga ndoa Januari mwakani kwa kuwa tayari nimepitia maisha mbalimbali ya ujana kilichobaki ni kukaa na familia.
“Ninaishi na mwanangu Wille na mwakani ataanza kidato cha kwanza, hivyo lazima nifunge ndoa niishi kama...
9 years ago
Bongo524 Dec
Dudu Baya kuuaga ukapera, January
![dudubaya3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/dudubaya3-300x194.jpg)
Msanii mkongwe wa Hip Hop, Dudu Baya amesema hakuna kitu kinachomnyima usingizi kama maandalizi ya ndoa yake itakayofanyika January 2016.
Rapa huyo ambaye pia ni baba wa mtoto mmoja aitwae Wille, ameiambia Bongo5 kuwa huu ndio wakati wake sahihi wa kuoa na kukaa na familia.
“Hakuna kitu kinaniumiza kama ndoa,” alisema.
“Nafunga ndoa January kwa sababu tayari nimeshapitia maisha yote ya ujana na sasa ni wakati wa kutulia home na familia. Wille amekuwa, mwakani anaingia form one na ninakaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ubtjjB69Gtg/default.jpg)
11 years ago
Bongo530 Jul
Dudu Baya: Alikiba na Diamond tengenezeni pesa, beef sio issue!!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSr7a6seC*V8yc5crgokM6yFuPNKyX3emFD3ddX*2FS1ZR926NsuqiYXmD03spE2XhvXiIz3p1PZ0iGHyjVfZlz1/LupitakushotonamshikajiwakeKnaan.jpg?width=650)
PENZI LA LUPITA NYONG’O NA K’NAAN SASA LIVE BILA CHENGA
10 years ago
VijimamboLAIVU BILA CHENGA WEMA SEPETU DODOMA