Dudu Baya kuuaga ukapera, January
Msanii mkongwe wa Hip Hop, Dudu Baya amesema hakuna kitu kinachomnyima usingizi kama maandalizi ya ndoa yake itakayofanyika January 2016.
Rapa huyo ambaye pia ni baba wa mtoto mmoja aitwae Wille, ameiambia Bongo5 kuwa huu ndio wakati wake sahihi wa kuoa na kukaa na familia.
“Hakuna kitu kinaniumiza kama ndoa,” alisema.
“Nafunga ndoa January kwa sababu tayari nimeshapitia maisha yote ya ujana na sasa ni wakati wa kutulia home na familia. Wille amekuwa, mwakani anaingia form one na ninakaa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Dudu Baya kuuaga ukapera Januari
NA MWANDISHI WETU
MKONGWE wa muziki nchini, Dudu Baya, anatarajia kuachana na ukapera Januari mwakani ambapo atafunga ndoa.
Msanii huyo amedai kwamba katika maisha yake amefanikiwa kupitia mambo mengi ya ujana lakini kilichobaki kwa sasa ni kuishi maisha ya ndoa.
“Ninatarajia kufunga ndoa Januari mwakani kwa kuwa tayari nimepitia maisha mbalimbali ya ujana kilichobaki ni kukaa na familia.
“Ninaishi na mwanangu Wille na mwakani ataanza kidato cha kwanza, hivyo lazima nifunge ndoa niishi kama...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ubtjjB69Gtg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AyrWFzbm2jY/VQ1qq4IrSkI/AAAAAAAABHs/gUFIz8T7Bxc/s72-c/Dudu-Baya.jpg)
DUDU BAYA AIBA SIMU NA KUDAKWA LIVE BILA CHENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AyrWFzbm2jY/VQ1qq4IrSkI/AAAAAAAABHs/gUFIz8T7Bxc/s1600/Dudu-Baya.jpg)
11 years ago
Bongo530 Jul
Dudu Baya: Alikiba na Diamond tengenezeni pesa, beef sio issue!!
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Andy Murry kuuaga ukapera
10 years ago
Bongo510 Mar
Tu8 January haina uhusiano wowote na January Makamba — Fid Q
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE5AkYnd20X2GqPIuGCWOMJPoGkU8OCVCbt*N1LHQKNMfu7T3AVbz55Q1P-YLjLYLAdVNlyuZbF3G5uwLB--1OjR/9.jpg?width=650)
TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO
10 years ago
Mwananchi12 Jul
January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s72-c/nat%2Bwa.jpg)
Nay wa Mitego Amvaa January Makamba..Adai January Ndio Mnunuzi Mkuu wa Akina Dr Slaa, Lupumba, Twaweza na Wasanii
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s640/nat%2Bwa.jpg)
Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego amemvaa mjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM,January Makamba na kudai yeye ni mnunuaji mkuu wa tafiti na wasanii kwa lengo la kukisaidia chama chake.Nay alimjibu January Makamba aliyepost ujumbe ukionyesha kushangaa tuhuma dhidi ya CCM kuwa imekuwa ikinunua wanasiasa,tafiti pamoja na wasanii kwa lengo la kuulaghai umma.
"Zitto kanunuliwa. Slaa kanunuliwa. Lipumba kanunuliwa. Twaweza imenunuliwa. Synovate...