Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Morocco yataka mechi kuahirishwa.

Serikali ya Morocco imedaiwa kuomba mechi ya kufuzu katika michuano ya taifa bingwa afrika kuahirishwa kutokana na ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mechi za Ligi ya soka ya England kuahirishwa hadi tarehe 3 Aprili

Mechi za Ligi kuu ya soka ya England zitaahirishwa hadi tarehe 4 Aprili kufuatia baadhi ya wachezaji wa ligi hio kupatikana na maambukizi ya virusi vya Corona.

 

11 years ago

BBCSwahili

EPL yataka mechi zake kuchezwa ugenini

Mpango wa Ligi ya Uingereza kuchezesha mechi kadhaa katika nchi za kigeni huenda ukapata upinzani mkali.

 

11 years ago

BBC

Postpone event for Ebola - Morocco

The 2015 Africa Cup of Nations should be postponed because of the Ebola epidemic, says the government of hosts Morocco.

 

11 years ago

Michuzi

TAMISEMI YATAKA KUONGEZA ZAIDI KIWANGO CHA TAHADHARI YA UGONJWA WA EBOLA.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),Hawa Ghasia, amewaagiza  Waganga Wakuu wa Mikoa , na Halmashauri za wilaya nchini kuongeza zaidi kiwango cha kuchukua tahadhari katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ukiwemo wa Ebola.Waziri Ghasia alitoa agizo hilo jana mjini hapa wakati wa  hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa Waganga wakuu wa mikoa, Halmashauri za wilaya na wakurugenzi wa Hospitali za rufaa kutoka mikoa yote ya Tanzania...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yasababisha mechi kutibuka

Mechi kati ya Sierra Leone na Seychelles ya kufuzu kwa mkondo wa pili ya CAF mwakani imetibuka kwa hofu ya Ebola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Ivory Coast kususia mechi

Ivory Coast huenda ikasusia mechi ya kufuzu kwa AFCON 2015 dhidi ya Sierra Leone ikihofia Ebola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola haizuwii mechi Sierra Leone

Wakuu wa kandanda Sierra Leone wataka endelea na mechi za Kombe la Afrika hata kama kuna ebola kanda hiyo

 

10 years ago

Habarileo

Lema asikitika uandikishaji kuahirishwa

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema uandikishaji wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, uliokuwa uanze jana na kuahirishwa, umewasikitisha kama chama kwa kuwa wananchi hawakupewa taarifa za usitishwaji wa uandikishaji huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani