Eddie Jones kocha mpya Raga,England
Eddie Jones leo anakuwa kocha mpya timu ya Raga ya Uingereza na kuwa na raia wa kwanza wa kigeni kuifundisha timu hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ryan Jones astaafu raga.
Nahodha wa zamani wa Wales Ryan Jones amestaafu kucheza mchezo wa raga kutokana na ushauri wa madaktari.
10 years ago
BBCSwahili27 May
Eddie Howe awa meneja bora England
Kocha wa timu ya soka Bournemouth ya England Eddie Howe ametajwa kuwa meneja bora wa mwaka wa shirikisho la mameneja wa soka nchini Uingereza LMA.
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Yanga yasaka kocha England
>Pamoja na makocha wengi kujitokeza kuwania nafasi ya kuinoa Yanga, uongozi wa klabu hiyo umeelekeza nguvu zao Uingereza kwa ajili ya kurithi mikoba ya kocha Mholanzi, Ernie Brandts.
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Southgate kuendelea kuwa kocha England
kocha wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 Gareth Southgate amesema anataka kuendelea kuwa kocha wa kikosi hicho.
10 years ago
Bongo510 Jan
New Music: Eddie Murphy atoa wimbo mpya wa Reggae ‘Oh Jah Jah’
Muigizaji maarufu na mwanamuziki, Eddie Murphy ametoa wimbo mpya wa miondoko ya Reggae uitwao “Oh Jah Jah”. Wimbo huu umefata single yake ya mwisho aliyomshirikisha Snoop Dogg, “Red Light” iliyotoka 2013.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GAEkDfY-KOo/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSpSuzQ0ZUta1TTiWrvGToE14Nyv-UDi5b02jpyD5pivXkj50ZLVxOopXEkvDOmh195sXpBC-CXix8n8QyUYiZ43/WayneRooneyinactionforEngland.jpg?width=650)
ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND
KOCHA wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia dhidi ya San Marino, Oktoba 2012. Staa huyo amewapiku wachezaji wenzake kipa Joe Hart na beki...
10 years ago
Bongo528 Aug
Rooney achaguliwa kuwa nahodha mpya wa England
Kocha wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 ambae pia ni nahodha ya timu ya Manchester United, amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania