Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Entente Setif kucheza bila Mashabiki

CAF yapiga marufuku mashabiki wa klabu ya Algeria Entente Setif kufuatia utovu wa nidhamu wa mashabiki wake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Entente Setif left stunned by Auckland

The African champions, Algeria's Entente Setif, are beaten 1-0 by Auckland City FC at the Fifa Club World Cup in Morocco.

 

11 years ago

GPL

MASHABIKI WANGU NJOONI TUFURAHI NA KUCHEZA PAMOJA KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI- JB

Staa wa filamu za Kibongo, Jacob Steven 'JB' anawakaribisha mashabiki wake wote kuhudhuria kwa wingi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini ambapo amejigamba kumgalagaza staa mwenzake Issa Mussa 'Cloud 112' katika upande wa 'boxing'. Katika mechi kati ya Bongo Muvi na Bongo Fleva, staa huyo amesema amepangwa kuongoza safu ya ushambuliaji akicheza namba 9! ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Shabiki wa Skylight Band awadatisha Joniko Flower na Aneth Kushaba kwa kucheza ma-style ya bendi hiyo bila kukosea!

DSC_0106

Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0130

Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony Masamba wakiwajibika jukwaani.

DSC_0155

Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0046

So how do you expect me to live alone with just me …’Cause my world revolves around you
It’s so hard for me to breathe...No air...

 

11 years ago

GPL

SHABIKI WA SKYLIGHT BAND AWADATISHA JONIKO FLOWER NA ANETH KUSHABA KWA KUCHEZA MA-STYLE YA BENDI HIYO BILA KUKOSEA!‏

Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar. Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony Masamba wakiwajibika jukwaani.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yazidi kuwakuna mashabiki wao, sasa kuwalipia washindi wa kucheza style ya “Kikuku” Usafiri, Tiketi na Vinywaji kwenye show zao

1

Kijana Machachari wa Skylight Band Hashim Donode (kushoto) akilianzisha Taratibuuuu Ijumaa iliyopita ndani  ya Thai Village akipewa Sapoti na Sony Masamba. Sasa mashabiki na wapenzi wa Skylight Band kila wiki wanashindanishwa kucheza staili yao matata ya “Kikuku na washindi hupewa ofa ya kulipiwa vinywaji, kiingilio na usafiri. Mwanzo ilikuwa Ijumaa iliyopita ambapo washindi walipewa ofa hiyo pamoja na kuhudhuria show yao kali iliyopigwa ndani ya Dar Live.

2

Meneja her self …Aneth Kushaba...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAO, SASA KUWALIPIA WASHINDI WA KUCHEZA STYLE YA “KIKUKU” USAFIRI, TIKETI NA VINYWAJI KWENYE SHOW ZAO!‏

Kijana Machachari wa Skylight Band Hashim Donode (kushoto) akilianzisha Taratibuuuu Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village akipewa Sapoti na Sony Masamba. Sasa mashabiki na wapenzi wa Skylight Band kila wiki wanashindanishwa kucheza staili yao matata ya "Kikuku na washindi hupewa ofa ya kulipiwa vinywaji, kiingilio na usafiri. Mwanzo ilikuwa Ijumaa iliyopita ambapo washindi walipewa ofa hiyo pamoja na kuhudhuria show yao kali...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.

Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...

 

11 years ago

GPL

MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI‏

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani